Mimi mzee alinunua tv ya Panasonic ya rangi,inch 21 mwaka '94 ,ina kama mbao hivi kwa pembeni.kiukweli hiyo brand ina roho ya paka.mpaka leo ipo na inafanya kazi kama kawaida.
yani mimi nazeeka lakini tv haifi wala haisumbui.Nakushauri ununue tu
Sent using
Jamii Forums mobile app