Imenunuliwa na The Businessman
Ni nzury sana ile tamthilia kwakweliDah umenikumbusha Ezel. Tamthilia tamu isiyochosha
Strive Masiyiwa
Ndo akafanya mabadiliko ya,vipindiStrive Masiyiwa
hujalipia kifurushi mkuu uwongo?Nashindwa kuelewa ni kwann imekua hivi,mwanzo nlikua na vipindi vizury mno mpaka ukawa inavutia kuangalia ila now ni vurugu tu yan any time munaonesha mamichezo ya mapikipiki tu mumesahau cyo wote wanapenda michezo,
Hebu badilikeni muwe kama zamani yani nimemiss sana tamthilia kama ezel,mazagazaga ya kokoro,pain killer na vipindi vingne vizuri
Hayo na vipindi yenu ASA iv yanakera mana kutwaa ni mamichezo tena yanatangazwa kizungu
Munakera sana badilikeni TV1
Tujipange tukafanye tour mrembo kama, hutojaliKuna ile ya kupanda mlima kilimanjaro na wazungu. Wanaimba hakuna matata. Mi nimechoka kua mpenzi mtazamaji
Hio ni local Chanel mwenye dikoda ya Startime so hata nisipolpa naiona freehujalipia kifurushi mkuu uwongo?
Kuna watu wanapesa aiseeKwese na Strive Masiyiwa baba
hilo nalijua sana tu ila naona kabisa hujalipia kifurushiHio ni local Chanel mwenye dikoda ya Startime so hata nisipolpa naiona free
Ndo akafanya mabadiliko ya,vipindi
Namkubali sana huyo jamaa. Muwekezaji na mjashriamali. Najua bado anajipanga ataweka mambo sawa tu.
Mugabe naye mubishi kama MUHASio wewe tu mkuu, huyu mzee ni Role Model wa wengi, Ana Inspire sana watu hasa kwenye page yake ya Facebook.
Walikosana na Mugabe miaka ya 90 jamaa akaenda zake London.
Umejuaje mkuu[emoji2] [emoji1] [emoji2] [emoji1]hilo nalijua sana tu ila naona kabisa hujalipia kifurushi
naiona avatar babaSio wewe tu mkuu, huyu mzee ni Role Model wa wengi, Ana Inspire sana watu hasa kwenye page yake ya Facebook.
Walikosana na Mugabe miaka ya 90 jamaa akaenda zake London.