TV nzuri inaitajika 32 inch

TV nzuri inaitajika 32 inch

ThinkPad

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2008
Posts
1,844
Reaction score
236
Bei iwe between 500,000 na 900,000 kama ni nzuri kama ni nzuri sana sana tunaweza zungumza 9XX, XXX +

pm or text to 0713943995

Sent from my GT-N7100 using Tapatalk 2
 
Ipo Sony lcd brand new 650,000/= tu! Ni pm
 
mmh mbona kama sielewagi?mi napotaka kununua kitu kwa mtu maana yake finacially mambo yanakataa ndo natafuta relief..sasa unapotoa amount za kitu kile kile kwa bei ya mpya kweli mwenzenu sielewi
 
kumbuka utapata analog ambayo ni HD.kupata digital kwa bongo ni ndoto kabisa!
 
kumbuka utapata analog ambayo ni HD.kupata digital kwa bongo ni ndoto kabisa!

Digita ninaweza ipata wapi na shingapi mkuu?

Sent from my GT-N7100 using Tapatalk 2
 
Kariakoo ziko kibaooooooo! Maduka ya ma agent wa Samsung!!!!!!!!!!! Tena bei haiko mbali na hio!

Sina acces ya kufika kariakoo

Sent from my GT-N7100 using Tapatalk 2
 
Back
Top Bottom