TV kujizima baada ya Dakika 5

TV kujizima baada ya Dakika 5

Key Point

Member
Joined
Jun 8, 2020
Posts
91
Reaction score
202
Habari za jioni,

Nina TV yangu ni star x 32 inch led tv shida yake inajizima kila baada ya dakika kumi mara ya kwanza nilijua ni sleeping timer nimekagua wapi.

Naombeni msaada
 
Kabla haijazima inaleta ujumbe wowote au countdown?

Na inajizima exactly kila baada ya dakika 5 au muda unatofautiana?

Baada ya kujizima inakuwa standBy? Na ukiwasha inawaka kwa remote?
 
Haileti ujumbe wowote na inajizima exactly kila baada ya dakika5,pia inakiwa standby na nawasha kwa remote
 
Jaribu kwenda kwenye setting ya sleep timer na uweke ijizime baada ya dakika 10. Utaona kama itakaa muda huo au kama itazima baada ya dakika 5
 
Nimeondoa timer na nimeweka hiyo dakika10 bado inajizima

Check kama TV ina setting ya power saver. Na pia inajizima wakati unaangalia kitu au wakati hakuna input signal?

Umejaribu kubadilisha input source i.e kutoka hdmi kwenda usb au kwenda AV?
 
Inajizima wakati na angalia kitu vyote nimebadilisha ila bado
 
Habari za jioni,nina tv yangu ni star x 32 inch led tv shida yake inajizima kila baada ya dakika kumi mara ya kwanza nilijua ni sleeping timer nimekagua wapi,naombeni msaada
Kuna capacitor zimeburst. TV inakosa stored charge za kutosha so inajizima inajipeleka standby kwaajili ya kujaza charge kwenye capacitors tena. Kuna TV yetu ya Sony ilikua hvyo, tukapeleka kwa fundi akabadilisha capacitor zote zilizoburst. Ilikua ni kma 40,000 hv kma sio 50,000 (sikumbuki vzr).
 
Kwa hiyo ni kupeleka tuu kwa fundi zinaweza kubadilishwa nikachukua baada ya nusu saa maana mafundi huwa siwaamini kabisaa
 
Kuna capacitor zimeburst. TV inakosa stored charge za kutosha so inajizima inajipeleka standby kwaajili ya kujaza charge kwenye capacitors tena. Kuna TV yetu ya Sony ilikua hvyo, tukapeleka kwa fundi akabadilisha capacitor zote zilizoburst. Ilikua ni kma 40,000 hv kma sio 50,000 (sikumbuki vzr).
Jibu lakisomi kabisa
 
Kwa hiyo ni kupeleka tuu kwa fundi zinaweza kubadilishwa nikachukua baada ya nusu saa maana mafundi huwa siwaamini kabisaa
Unaweza kubadilisha mwenyew kma una soldering iron na multimeter. Ukaenda kununua hzo capacitor kkoo kutoka na rating zake (wanauzaga buku 2 mpk buku 10 kutokana na rating). Ila kma huna ujuzi wa kiufundi, we peleka kwa fundi wa maana tu.
 
Unaweza kubadilisha mwenyew kma una soldering iron na multimeter. Ukaenda kununua hzo capacitor kkoo kutoka na rating zake (wanauzaga buku 2 mpk buku 10 kutokana na rating). Ila kma huna ujuzi wa kiufundi, we peleka kwa fundi wa maana tu.
Sawa sawa mkuu fundi mzuri anapatikana mitaa ipi mimi niko maeneo ya kimara
 
Back
Top Bottom