Wakuu,nimenunua tv ya kichina mpya,iko vzuri tu.
Ila cha ajabu kwenye kona juu kulia,inaonyesha alama ya battery na 100%,cjui inamaanisha nini?View attachment 2916669
Angalia isije ikawa zile za Solar. Jaribu kudisconect umeme! Kisha iwashe....ikiwaka itakuwa na Backup battery ndani yake. Maana zipo TV zina backup Battery ndani yake
Wakuu,nimenunua tv ya kichina mpya,iko vzuri tu.
Ila cha ajabu kwenye kona juu kulia,inaonyesha alama ya battery na 100%,cjui inamaanisha nini?View attachment 2916669
Wakuu,nimenunua tv ya kichina mpya,iko vzuri tu.
Ila cha ajabu kwenye kona juu kulia,inaonyesha alama ya battery na 100%,cjui inamaanisha nini?View attachment 2916669
Siyo hiyo chanel labda au kifaa unchotumia kupata hiyo video decoda etc? Kma ni TV Nadhani hizi TV wanaweka OS ya Android so kuna kitu wamechemsha hapo imeanza kuonyesha hivo, chunguza settings, kama ina uwezo wa kufanya update fanya hivyo au fanya factory reset.