Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 6,503
- 18,949
Kwa mujibu wa sayansi watu wote Duniani wametokana na nyani au sokwe mtu (chimpamzee) hivo maisha au uhai ulianzia afrika kisha kusambaa duniani kote. Ila mazingira ndiyo yalifanya kukawa na wazungu au watu weupe.
1- imekuaje IQ za watu weusi zikawa chini kulinganisha na watu weupe?
2- ni kwanini sasa hivi mtu mweusi kwa mweusi hawawezi zaa mtu mweupe (mzungu)?
3- ni kwanini miaka yote hii watu weusi wamejificha chini ya jangwa la sahara na kuzungukwa na bahari? Watu weusi walitoka wapi haswa yaani asili yao.
4- Wakati Biblia inaandikwa, je kuna uwezekano wazungu hawakujua uwepo wa watu weusi?
5- Ilikuwaje akina Batolomea Diaz na kina Vasco Da Gama walizunguke Bara la Africka bila kuhisi kuna watu humo?
6- Ikiwa tuliupinga ukoloni na kuukataa iweje leo tuzamie tena kwa wazungu tuliowafukuza?
7- Kabla ya kuja dini kwa watu weusi tulikuwa tunamuabudu Mungu yupi?
8- kabla ya kuja dawa za kizungu, tulikuwa tunajitibu kwa kutumia nini?
9- ina maana kwa miaka yote hiyo wazungu hawakuwahi kuona mtu mweusi mpaka kutuweka zoo kwa maonyesho.
10- ipi asili ya mtu mweusi
N.B Itapendeza kama utaleta reference za vitabu vya dini.
1- imekuaje IQ za watu weusi zikawa chini kulinganisha na watu weupe?
2- ni kwanini sasa hivi mtu mweusi kwa mweusi hawawezi zaa mtu mweupe (mzungu)?
3- ni kwanini miaka yote hii watu weusi wamejificha chini ya jangwa la sahara na kuzungukwa na bahari? Watu weusi walitoka wapi haswa yaani asili yao.
4- Wakati Biblia inaandikwa, je kuna uwezekano wazungu hawakujua uwepo wa watu weusi?
5- Ilikuwaje akina Batolomea Diaz na kina Vasco Da Gama walizunguke Bara la Africka bila kuhisi kuna watu humo?
6- Ikiwa tuliupinga ukoloni na kuukataa iweje leo tuzamie tena kwa wazungu tuliowafukuza?
7- Kabla ya kuja dini kwa watu weusi tulikuwa tunamuabudu Mungu yupi?
8- kabla ya kuja dawa za kizungu, tulikuwa tunajitibu kwa kutumia nini?
9- ina maana kwa miaka yote hiyo wazungu hawakuwahi kuona mtu mweusi mpaka kutuweka zoo kwa maonyesho.
10- ipi asili ya mtu mweusi
N.B Itapendeza kama utaleta reference za vitabu vya dini.