Tuzo za Grammy: Burna Boy na Wizkid washinda tuzo za Grammy

Alianza Burna kuperform kwenye SNL ( Saturday Night Live) hapo ndo nikaanza kukubali kuwa tumepigwa gap kubwa tayari.

Tunahitaji kizazi kingine waje na muziki utakaokuwa na authority.
Yes, alianza burna wakati anatoa album yake ya African Giant.

Sasa hivi mpaka kina Davido, Fireboy DML wameperform kwa Jimmy Kimmel, Daily Show ( Trevor Noah ) n.k

Sisi bado. Kilichofanya Nigerians wakatupa attention kama East Africans ni mzunguko wa shows uliokuwepo.

Sasa hivi Muziki wa bongo hauna promoters: Media ndio promoters, ndio zinamiliki wasanii na ndio waandaaji wa matamasha. Hali hii imesababisha Muziki umekosa taste na umekuwa of low quality.
 
niwaambie tu muelewe nyinyi wenye kazi ya kuponda wasanii wa bongo. hata nyinyi tukiwaweka kwenye nyanja zenu hamuwezi kucompete na wapopo, wakenya tu wanawakimbiza.

tabia zenu za kusubiri kuponda ila mtu anapofanya vizuri hamtaki kuappreciate ni za kichawi sana.

wanaija now ndio wameushika mziki wa africa sio kwa sababu wao wanaimba sana no, ni sababu opportunity zote kubwa wamekamata njia zake.

kuanzia mtv, recording labels kubwa na publishing companies unakuta top management upande wa Africa wamekaa wanaija sasa unafikiri wataacha kusaidiana.

ebu nyie mnaoponda mkajaribu hata kupata nafasi za decision making kwenye corporate companies kwenye international levels ndio mje kuponda.

mtu kama diamond aliwashawishi sana trace waingizie mziki wa eastafrica kwenye playlist lakini alishindwa walichomsaidia ni kutuletea trace mziiki.

hakuna mnachojua kuhusu muziki wa Africa endeleeni kuponda. okay mbasema kuhusu bongo what about mtu kama fally ipupa? kati ya falii na burnaboy nani mkubwa africa? na utakaa uone fally akipata mashavu jiylize why
 
Usiku wa kuamkia leo kulikuwa na utowaji wa tuzo za Grammy ikumbukwe tuzo za Grammy ni tuzo kubwa zaidi kwenye muziki kuliko tuzo zozote.

Burna Boy aliibuka mshindi wa Album Bora Huku Wizkid Star Boy akishinda tuzo ya video bora kwenye nyimbo aliyopewa shavu na Beyonce(brown skin girl)

Sijui ni haters au nini, Wanasema Wizkid hastaili kupewa heshima kama mmoja wa washindi kwa sababu nyimbo ni ya Beyonce. Wanasema Director na Beyonce wanastahili pongezi.

Upi mtazamo wako juu ya hili?

forgive Me
 
Me ninavojua Kuna tofauti Kati ya collaboration na featuring kwenye wimbo wa Beyonce brown skin girl pale wizkid ameshirikishwa2 na mmiliki halali wa ule wimbo ni Beyonce ni tofauti na collaboration ambapo wasanii wanaingia studio kufanya ngoma ya pamoja so kwa mantiki hyo ni dhahiri kuwa wizkid hastahili kupewa heshima anayopewa saiv ya kuchukua Grammy
 
Hapo kwenye ubora wa utayarishaji na tungo inabidi wasanii wetu na watayarishaji wao wajifunze kitu. Sound ya Naija iko na viwango vya juu sana ukikinganisha na sound yetu, acha washinde tu.
Nigerians kwenye production wako vizuri. Hata baadhi ngoma za kibongo zilizofanyiwa production huko ziko vizuri.

Sikiliza: - African beauty ya Diamond
- Show me what you gat ya Harmonize.

Super productions.
 
niwaambie tu muelewe nyinyi wenye kazi ya kuponda wasanii wa bongo. hata nyinyi tukiwaweka kwenye nyanja zenu hamuwezi kucompete na wapopo, wakenya tu wanawakimbiza.

tabia zenu za kusubiri kuponda ila mtu anapofanya vizuri hamtaki kuappreciate ni za kichawi sana.

wanaija now ndio wameushika mziki wa africa sio kwa sababu wao wanaimba sana no, ni sababu opportunity zote kubwa wamekamata njia zake.

kuanzia mtv, recording labels kubwa na publishing companies unakuta top management upande wa Africa wamekaa wanaija sasa unafikiri wataacha kusaidiana.

ebu nyie mnaoponda mkajaribu hata kupata nafasi za decision making kwenye corporate companies kwenye international levels ndio mje kuponda.

mtu kama diamond aliwashawishi sana trace waingizie mziki wa eastafrica kwenye playlist lakini alishindwa walichomsaidia ni kutuletea trace mziiki.

hakuna mnachojua kuhusu muziki wa Africa endeleeni kuponda. okay mbasema kuhusu bongo what about mtu kama fally ipupa? kati ya falii na burnaboy nani mkubwa africa? na utakaa uone fally akipata mashavu jiylize why
Kama nimekuelewa hivi
 
niwaambie tu muelewe nyinyi wenye kazi ya kuponda wasanii wa bongo. hata nyinyi tukiwaweka kwenye nyanja zenu hamuwezi kucompete na wapopo, wakenya tu wanawakimbiza.

tabia zenu za kusubiri kuponda ila mtu anapofanya vizuri hamtaki kuappreciate ni za kichawi sana.

wanaija now ndio wameushika mziki wa africa sio kwa sababu wao wanaimba sana no, ni sababu opportunity zote kubwa wamekamata njia zake.

kuanzia mtv, recording labels kubwa na publishing companies unakuta top management upande wa Africa wamekaa wanaija sasa unafikiri wataacha kusaidiana.

ebu nyie mnaoponda mkajaribu hata kupata nafasi za decision making kwenye corporate companies kwenye international levels ndio mje kuponda.

mtu kama diamond aliwashawishi sana trace waingizie mziki wa eastafrica kwenye playlist lakini alishindwa walichomsaidia ni kutuletea trace mziiki.

hakuna mnachojua kuhusu muziki wa Africa endeleeni kuponda. okay mbasema kuhusu bongo what about mtu kama fally ipupa? kati ya falii na burnaboy nani mkubwa africa? na utakaa uone fally akipata mashavu jiylize why
Mzee kama umeumia hivi hahahah
 
Me ninavojua Kuna tofauti Kati ya collaboration na featuring kwenye wimbo wa Beyonce brown skin girl pale wizkid ameshirikishwa2 na mmiliki halali wa ule wimbo ni Beyonce ni tofauti na collaboration ambapo wasanii wanaingia studio kufanya ngoma ya pamoja so kwa mantiki hyo ni dhahiri kuwa wizkid hastahili kupewa heshima anayopewa saiv ya kuchukua Grammy
Kwaio unataka kusemaje, shida iko wapi, kwanini asipewe heshima, itoshe kusema waliopo wote kwenye video wanastahili heshima, ndio waliofanikisha hio video kuchukua tuzo, kutokea au hata kuimba kwenye video ya Beyonce ni hatua na bahati kubwa sana ambayo wasanii wengi ikiwemo hata wa kwenu hawa wabana pua akina nasibu wanatamani usiku na mchana waipate

Barack Obama ana list ya nyimbo anazipenda kila Mara , anakua anazi update, nyimbo za wizkid hua haikosi katika list yake..je nyimbo zenu za "kanyaga kanyaga" "wazushi kanyaga" ..zinafikia wapi
 
Mshindi ni Burna.......

He's very serious and he deserves. Wizkid anawekwa kwa appreciation tu, maana wimbo ni wa Beyonce.

Mwaka jana na mwaka huu Burna kafanya kazi kubwa sana na wasanii wengi wakubwa kina John Legend ( kwenye soundtrack ya Coming2America), Sia, Stormyz, Sam Smith, Ed Sheeran etc.

Wanaijeria wako juu sana sasa hivi: Fireboy, Davido n.k kuperfom kwenye Late night shows US ni kawaida.

Congrats.
Mazee Fireboy kama akiendelea hivi basi ni suala la muda tu...
 
Alianza Burna kuperform kwenye SNL ( Saturday Night Live) hapo ndo nikaanza kukubali kuwa tumepigwa gap kubwa tayari.

Tunahitaji kizazi kingine waje na muziki utakaokuwa na authority.
Singeli
 
Back
Top Bottom