Tuzo ya Forbes Africa ni ya kweli watu wenye nia mbaya wanataka kupotosha

Emc2

JF-Expert Member
Sep 26, 2011
16,808
16,836
Kwanza kabisa kuna thread imewekwa hapa ikidai kuwa tuzo hizo ni za uongo. Huyo mtu analengo la kupotosha watu.

Nitajikita kitaalam zaidi.
Kuna kitu kinaitwa whois ambacho hutoa details za domain. Hebu check hapa
Whois poy2016.com
Utakuta hiyo domain imesajiriwa na Sid Wahi na email yake ipo pale.

Sid wahi ni nani?
Taarifa zake hizi hapa
Contributors: Sid Wahi - CNBC Africa

Yaani ni mmoja wa shareholders wa ForbesAfrica.

Ndugu zangu tuache propaganda za kitoto. Ni ujinga sana watu wazima wanajaribu kupotosha kwa siasa za maji taka. Namuomba Jericko Nyerere aache utoto haujengi katika nchi ya wastaarabu.

==================

 
Hakuna chochote. Tangu lini Forbes Africa wakawatumia Shareholders wake kumsaidia kazi? Ok,mbona taarifa zozote za Forbes Africa hazijawahi kutolewa na Sid Wahi?
 
Hao ni vijana wa mzee mamvi...hawana lolote na ni 3% tu..
 
Hakuna chochote. Tangu lini Forbes Africa wakawatumia Shareholders wake kumsaidia kazi? Ok,mbona taarifa zozote za Forbes Africa hazijawahi kutolewa na Sid Wahi?
Tatizo lako ni ufinyu wa exposure ndio inakusumbua.
Kwani shareholder hawezi kuajiriwa na kampuni?

Nimekupatia link ifuatilie acha kulia lia kama huna akili nzuri.
Jitahidi kujielimisha kidogo na uache uzuzu.
 
Siyo vizuri katika jamii inayoelekea kustaarabika. Watu wa nchi zingine wanatuona wapuuzi kama yeye. Anatakiwa abadilike aache kwenda kwa mihemuko.

Kuna watu wangapi sasa amewapotosha?
Siyo vizuri kuandika uongo.
Huyo nimeshaamua kumpotezea muda mrefu uliopita. Yaani sijui alipoteleaga wapi leo hii kaibuka na vijistori visivyo na mbele wala nyuma. Halafu makamanda wanammwagia sifa kwa "uwezo" wake wa kijasusi. Ha ha ha, duniani kuna watu.
 
So what is the movie behind the scene series?
After all kama ni mimi ningekataa kushirikishwa.. .. Acheni kufanya mzaha na issue ya urais nyie.. It is the top job in the world, ...yeye Maguful calibre yake huwezi linganisha na hao wasiofahamika, eti people of Rwanda...
BTW, hiyo tuzo ina faida gani hasa kipindi hiki? Et Forbes Africa...
Zaid ya hapo, hao hao tuliokataa demokrasia yao na misaada yao, leo ndio tunalilia watupe tuzo..... Really?
Mlishajiuliza kwanin kuna Forbes person of the year na Forbes Africa person of the year?
Tusiendeshwe hivyo jamani... Dah..si bora haya mambo tuwaachie tu TWAWEZA?
 
Acha kulia lia wewe.
 
Sasa ndio umekanusha kitu gani, nani kasema tuzo za Forbes siyo za kweli? uongo unaosemwa ni shindano hilo kwa sasa halipo.
 
Mimi nasubiri nione mwisho wa hii movie maana naona mapicha picha tu.
 
Rais wa nchi anashindanishwa na wauza karanga wa nchi nyingine hlf mnashangilia anaongoza?! Kapimweni akili zenu nyie kama ziko sawa...... Angepambanishwa na marais kama Uhuru Kenyetta, Buhari, Santos n.k, lkn siyo watu wasiojulikana kwa lolote, rais wa nchi anadhalilika mnashangilia?!
 
Acha ujinga wewe Malcolm X feki. Rais wa Mauritius Ameenah Gurib ni muuza karanga? Aliko Dangote aliyewahi kushinda hiyo tuzo ni muuza karanga? Wewe kaa hapo hapo ufipa na roho yako ya korosho. Ulie tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…