mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,797
- 105,934
wa lumumba washakanusha hiyo tuzo sio ya kweli sasa sijui una kipi cha kutuelezaKwani mwaka juzi maraisi walikuwa wangapi? Kama sio mmoja tu rais wa nigeria?
Maximize your thinking ability.
Halafu unataka marais wawe wangapi?
bro hivi huna kazi? kama huna kazi jiweke wazi manake kuanzia asubuhi umo tu humu! kwani hata kama hiyo tuzo ingekuwa ni ya kweli unafaidika nayo vipi wewe mpiga jaramba? kuwa na akili timamu watoto wako wasije kukuuliza baba ulifanya nini enzi za ujana wako! manake watu kama ninyi hamna akili kabisaNawaomba vijana wa kitanzania wawe wanafanya utafiti lwanza kabla ya ku comment vitu vya ajabu ajabu kama huyu anaye jiita Jericko Nyenyere.
Nadhani wewe utakuwa hujielewi. Kama unasema tangu asubuhi nimo humu umejuaje?bro hivi huna kazi? kama huna kazi jiweke wazi manake kuanzia asubuhi umo tu humu! kwani hata kama hiyo tuzo ingekuwa ni ya kweli unafaidika nayo vipi wewe mpiga jaramba? kuwa na akili timamu watoto wako wasije kukuuliza baba ulifanya nini enzi za ujana wako! manake watu kama ninyi hamna akili kabisa
Tatizo lako ni ufinyu wa exposure ndio inakusumbua.
Kwani shareholder hawezi kuajiriwa na kampuni?
Nimekupatia link ifuatilie acha kulia lia kama huna akili nzuri.
Jitahidi kujielimisha kidogo na uache uzuzu.
Kama ambavyo lowasa anavyotetemesha vijana wote wa chadema, mkambadilisha kutoka fisadi kuwa malaika, njaa yenu ina kipimo gani?
Siwez kupoteza muda wangu na Mambo ya kijinga...mnapoteza mda na mambo ya kipuuzi wakati Dawa hospitalin hakuna
mimi nimekukumbusha tu, jiandae kuulizwa na watoto wako kuwa enzi za ujana wako ulifanya nini! wenzio wenye akili sasa hivi wanashika viwanja wewe unakomaa na tuzo za JP, Utakula hiyo tuzo uzeeni.....Nadhani wewe utakuwa hujielewi. Kama unasema tangu asubuhi nimo humu umejuaje?
Acha uzuzu.
Ndugu kwa akili yako unadhani nipo sawa na wewe?mimi nimekukumbusha tu, jiandae kuulizwa na watoto wako kuwa enzi za ujana wako ulifanya nini! wenzio wenye akili sasa hivi wanashika viwanja wewe unakomaa na tuzo za JP, Utakula hiyo tuzo uzeeni.....
ni maoni tu