Tuwekane sawa kuhusu oral interviews hapa.

Tuwekane sawa kuhusu oral interviews hapa.

Watu 8 dah si kama ugomvi sasa.
Ok. Nadhani maswali watakua wanauliza kwa mpangilio na si kama kirabuni.

Je, swali moja inabidi nijibu kwa zaidi ya dakika 3 kweli? ie. Majibu ni short na maelezo kidogo au ndio full explanations tu.

Nilishawahi sikia kuna badhi hawapendi wewe uwe muongeaji sana. Wana penda mtu una hit point na nyama kidogo.
Mara nyingi wanataka short and clear usiwapotezee muda, akisema mention you do that na akisema describe au explain Unafanya hivyo. Hujui swali wanakuuliza unasema pass ili usijizungushe na kupoteza muda.
Mara zote anakuwepo mtaalamu wa mambo uliyosomea so uwe sahihi kujibu kwako, ni vema ukapitia ulivosoma kabla ya tukio. Maswali ya theory, practical na general knowledge yapo.
 
.
.
.
.
.
.
.
1. nadhani cover letter na cv sio muhimu katika interview......wanahitaji vyeti kuona vyeti orliginal,kwa kuwa ulishapeleka photocopy.

2.idadi ya watakaokuinterview inategemeana na nafasi ya kazi na nature ya kampuni. lakini mara nyingi interview serious inakuwa na watu kuanzia 2 au 3 mpaka watu 10

3. haina haja ya kuwapa mkono ila unaweza kuwasalimia kwa pamoja, labda swali lije umeingia umewakuta wameuchuna....what to do?unaweza ukaanzisha mazungumzo labda kwa kuwapa hongera kwa kazi then ukaanzia hapo.

4. utani!inategemea na post uliyoitiwa,kama ya comedy obvious jokes zinahusika pia. lakini nadhani jokes hazina nafasi katika interview

5. sio lazima kuwe na mtaalamu wa field husika,kwani kuna fani flani ni mpya kabisa na hazijawahi kuwa na wataalamu huko nyuma,mfano miaka mitatu minne iliyopita wataalamu wa m$e walikuwa wachache mno,walipolazimishwa kuwa na watu wa aina hiyo na kutangaza kazi ilikuwa ni swala la kuwaefundisha na kisha kuwashawishi kwa nini wewe ndio unafaa.....lakini mara nyingi panaweza kuwa na mtaalamu mmoja au wawili ikitegemea na ukubwa wa panel


kwa uzoefu wangu ni hayo tu mkubwa
 
Dear Secret Service, there is nothing like "Oral Interview". Interview is always oral, so you cannot say oral interiview. Is the same as saying "repeate again". That is written test or screening test, sawa!!

Rudi darasani.

Zipo witten interview mimi nimeshawahi fanya moja.Da ila watanzania kwa kukosoa balaa yaani kumtia mtu moyo na kujibu vizuri hata kama kakosea ilo halipo,et unamwambia rudi darasani.
 
Back
Top Bottom