johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,150
Ameenda kulalamikia sehemu isiyo sahihi!Kama binaadamu mwenye sifa ya kukasirika,kufurahi,kuridhika,kuhuzunika,kulalamika,kuona umepuuzwa au kudharauliwa au kutengwa na kunyimwa haki zako,UNGEKUWA NI LISSU usingefanya au kusema kama yeye?
- Ni Mbunge wa Upinzani na Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni
- Alishatoa taarifa ya 'kufuatiliwa' na kutishiwa uhai wake
- Akashambuliwa akiwa kazini maeneo ya Bunge yenye ulinzi wa kutosha.
- Kwa mujibu wake na familia yake,Bunge halijawahi kugharamia matibabu yake nje ya nchi kwa kile kinachotajwa kama kutofuata utaratibu unaohusu matibabu ya Wabunge.
- Kwa mujibu wake,hakuna kiongozi yeyote wa Bunge aliyemtembelea hospitalini kuanzia Nairobi hadi Ubelgiji pamoja na kuwa yeye ni 'mgonjwa wa Bunge'
- Kwa mujibu wake,hadi Sasa,hakuna yeyote aliyekamatwa,kushikiliwa au kushtakiwa kwa 'shambulio' lake.
- Kwa mujibu wake,mipango ya kumvua Ubunge wake kwa 'utoro' inasukwa ili kutekelezwa.
- Lissu ni Mwanasheria anayejua haki na wajibu,hasa haki na wajibu wake.
- Alishambuliwa akiwa ni Rais wa TLS,Mbunge wa Singida Mashariki-CHADEMA,Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani Bungeni na Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA.
- Yeye na familia yake wamekuwa wakifuatilia stahiki zake,za kimatibabu,kwa Mamlaka husika kama Bunge bila mafanikio.
Eti na africa kawaida ??? Boya wewe uko ndani unahangaika na mbu wako unajiandikia tu. Ungepigwa ww kofi tu wala sio risasi ungekuwa wapi ??? Acha kujaji vitu baada ya kushiba na kujamba kwa shibe.Nadhani hadi tundulissu anafika hapo ni matokeo ya tabia yake ya ubishi na kutofahamu mipaka yake.......
Huwezi ukawa unashambulia serikali kwa makosa yake through intimidation kama hivyo halafu ikakutazama popote pale.....
Akina JF Kennedy walipigwa shaba na kufariki sio kwasababu hawakuwa viongozi bora bali waliiweka serikali katika kona mbaya ambapo alitakiwa kutulia kidogo kisha kuipa nafasi ijitafakari upya.
Ukimbana paka kwenye kona katika harakati za kumfunga kengele tegemea akutolee makucha yake na atakushambulia.......
Kila kitu kina limits........usikazie hadi kupitiliza......
Learn to fight smart na sio aggressive.......
Sasa anavyozunguka kuongea huko nje anategemea kupata msaada gan, na mataifa ya nje wanachokiona ni kiongozi wa upinzani aliyeshambuliwa........baasi hayo mengine hawawezi elewa maana ni siasa za bongo na africa kawaida.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Una maanisha watu na hasa wabunge wanyamaze kimya hata kama wanaona kuna vitu haviko sawa?Nadhani hadi tundulissu anafika hapo ni matokeo ya tabia yake ya ubishi na kutofahamu mipaka yake.......
Huwezi ukawa unashambulia serikali kwa makosa yake through intimidation kama hivyo halafu ikakutazama popote pale.....
Akina JF Kennedy walipigwa shaba na kufariki sio kwasababu hawakuwa viongozi bora bali waliiweka serikali katika kona mbaya ambapo alitakiwa kutulia kidogo kisha kuipa nafasi ijitafakari upya.
Ukimbana paka kwenye kona katika harakati za kumfunga kengele tegemea akutolee makucha yake na atakushambulia.......
Kila kitu kina limits........usikazie hadi kupitiliza......
Learn to fight smart na sio aggressive.......
Sasa anavyozunguka kuongea huko nje anategemea kupata msaada gan, na mataifa ya nje wanachokiona ni kiongozi wa upinzani aliyeshambuliwa........baasi hayo mengine hawawezi elewa maana ni siasa za bongo na africa kawaida.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Alipaswa kusemea wapi?Ameenda kulalamikia sehemu isiyo sahihi!
Singida masharikiAlipaswa kusemea wapi?
Kwanini?Singida mashariki
Kuna watu wanamlaumu pasipo sababu mateso aliyoyapata Lissu ni siri yake binadamu anajijali binafsi mateso ya mwingine hayamhusuKama binaadamu mwenye sifa ya kukasirika,kufurahi,kuridhika,kuhuzunika,kulalamika,kuona umepuuzwa au kudharauliwa au kutengwa na kunyimwa haki zako,UNGEKUWA NI LISSU usingefanya au kusema kama yeye?
- Ni Mbunge wa Upinzani na Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni
- Alishatoa taarifa ya 'kufuatiliwa' na kutishiwa uhai wake
- Akashambuliwa akiwa kazini maeneo ya Bunge yenye ulinzi wa kutosha.
- Kwa mujibu wake na familia yake,Bunge halijawahi kugharamia matibabu yake nje ya nchi kwa kile kinachotajwa kama kutofuata utaratibu unaohusu matibabu ya Wabunge.
- Kwa mujibu wake,hakuna kiongozi yeyote wa Bunge aliyemtembelea hospitalini kuanzia Nairobi hadi Ubelgiji pamoja na kuwa yeye ni 'mgonjwa wa Bunge'
- Kwa mujibu wake,hadi Sasa,hakuna yeyote aliyekamatwa,kushikiliwa au kushtakiwa kwa 'shambulio' lake.
- Kwa mujibu wake,mipango ya kumvua Ubunge wake kwa 'utoro' inasukwa ili kutekelezwa.
- Lissu ni Mwanasheria anayejua haki na wajibu,hasa haki na wajibu wake.
- Alishambuliwa akiwa ni Rais wa TLS,Mbunge wa Singida Mashariki-CHADEMA,Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani Bungeni na Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA.
- Yeye na familia yake wamekuwa wakifuatilia stahiki zake,za kimatibabu,kwa Mamlaka husika kama Bunge bila mafanikio.
Ndio waliomuombea kwa Mungu na kupata uponyaji!Kwanini?
Kama binaadamu mwenye sifa ya kukasirika,kufurahi,kuridhika,kuhuzunika,kulalamika,kuona umepuuzwa au kudharauliwa au kutengwa na kunyimwa haki zako,UNGEKUWA NI LISSU usingefanya au kusema kama yeye?
- Ni Mbunge wa Upinzani na Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni
- Alishatoa taarifa ya 'kufuatiliwa' na kutishiwa uhai wake
- Akashambuliwa akiwa kazini maeneo ya Bunge yenye ulinzi wa kutosha.
- Kwa mujibu wake na familia yake,Bunge halijawahi kugharamia matibabu yake nje ya nchi kwa kile kinachotajwa kama kutofuata utaratibu unaohusu matibabu ya Wabunge.
- Kwa mujibu wake,hakuna kiongozi yeyote wa Bunge aliyemtembelea hospitalini kuanzia Nairobi hadi Ubelgiji pamoja na kuwa yeye ni 'mgonjwa wa Bunge'
- Kwa mujibu wake,hadi Sasa,hakuna yeyote aliyekamatwa,kushikiliwa au kushtakiwa kwa 'shambulio' lake.
- Kwa mujibu wake,mipango ya kumvua Ubunge wake kwa 'utoro' inasukwa ili kutekelezwa.
- Lissu ni Mwanasheria anayejua haki na wajibu,hasa haki na wajibu wake.
- Alishambuliwa akiwa ni Rais wa TLS,Mbunge wa Singida Mashariki-CHADEMA,Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani Bungeni na Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA.
- Yeye na familia yake wamekuwa wakifuatilia stahiki zake,za kimatibabu,kwa Mamlaka husika kama Bunge bila mafanikio.
Kwa iyo ww ungefanyejeUkifanyiwa hayo makitu haiitaji kujua haki zako Bali ni kudeal na walio kutendea jino kwa jino amacho anakifanya Lisu ni Busara kubwa sana kulingana ninacho kifikiria Mimi ningekifanya
Kama binaadamu mwenye sifa ya kukasirika,kufurahi,kuridhika,kuhuzunika,kulalamika,kuona umepuuzwa au kudharauliwa au kutengwa na kunyimwa haki zako,UNGEKUWA NI LISSU usingefanya au kusema kama yeye?
- Ni Mbunge wa Upinzani na Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni
- Alishatoa taarifa ya 'kufuatiliwa' na kutishiwa uhai wake
- Akashambuliwa akiwa kazini maeneo ya Bunge yenye ulinzi wa kutosha.
- Kwa mujibu wake na familia yake,Bunge halijawahi kugharamia matibabu yake nje ya nchi kwa kile kinachotajwa kama kutofuata utaratibu unaohusu matibabu ya Wabunge.
- Kwa mujibu wake,hakuna kiongozi yeyote wa Bunge aliyemtembelea hospitalini kuanzia Nairobi hadi Ubelgiji pamoja na kuwa yeye ni 'mgonjwa wa Bunge'
- Kwa mujibu wake,hadi Sasa,hakuna yeyote aliyekamatwa,kushikiliwa au kushtakiwa kwa 'shambulio' lake.
- Kwa mujibu wake,mipango ya kumvua Ubunge wake kwa 'utoro' inasukwa ili kutekelezwa.
- Lissu ni Mwanasheria anayejua haki na wajibu,hasa haki na wajibu wake.
- Alishambuliwa akiwa ni Rais wa TLS,Mbunge wa Singida Mashariki-CHADEMA,Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani Bungeni na Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA.
- Yeye na familia yake wamekuwa wakifuatilia stahiki zake,za kimatibabu,kwa Mamlaka husika kama Bunge bila mafanikio.
Ungeanza kwanza wewe kwakujijibu tukusikie wewe mpinzani wake
Nadhani hadi tundulissu anafika hapo ni matokeo ya tabia yake ya ubishi na kutofahamu mipaka yake.......
Huwezi ukawa unashambulia serikali kwa makosa yake through intimidation kama hivyo halafu ikakutazama popote pale.....
Akina JF Kennedy walipigwa shaba na kufariki sio kwasababu hawakuwa viongozi bora bali waliiweka serikali katika kona mbaya ambapo alitakiwa kutulia kidogo kisha kuipa nafasi ijitafakari upya.
Ukimbana paka kwenye kona katika harakati za kumfunga kengele tegemea akutolee makucha yake na atakushambulia.......
Kila kitu kina limits........usikazie hadi kupitiliza......
Learn to fight smart na sio aggressive.......
Sasa anavyozunguka kuongea huko nje anategemea kupata msaada gan, na mataifa ya nje wanachokiona ni kiongozi wa upinzani aliyeshambuliwa........baasi hayo mengine hawawezi elewa maana ni siasa za bongo na africa kawaida.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani hadi tundulissu anafika hapo ni matokeo ya tabia yake ya ubishi na kutofahamu mipaka yake.......
Huwezi ukawa unashambulia serikali kwa makosa yake through intimidation kama hivyo halafu ikakutazama popote pale.....
Akina JF Kennedy walipigwa shaba na kufariki sio kwasababu hawakuwa viongozi bora bali waliiweka serikali katika kona mbaya ambapo alitakiwa kutulia kidogo kisha kuipa nafasi ijitafakari upya.
Ukimbana paka kwenye kona katika harakati za kumfunga kengele tegemea akutolee makucha yake na atakushambulia.......
Kila kitu kina limits........usikazie hadi kupitiliza......
Learn to fight smart na sio aggressive.......
Sasa anavyozunguka kuongea huko nje anategemea kupata msaada gan, na mataifa ya nje wanachokiona ni kiongozi wa upinzani aliyeshambuliwa........baasi hayo mengine hawawezi elewa maana ni siasa za bongo na africa kawaida.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Tujifunze nini hasa Mkuu?Asante sana ndugu, hoja nzuri, maswali mazuri ya kufikirisha sana....
Kwa maoni yangu, kwa wengine wasivyojua na hata kuelewa umuhimu wa kujiwekea hazina mbinguni....
Ingewatokea situation hii, wasingepata msaada wowote kwa yeyote na hata kwa Mungu mwenyewe.....
Wangeshakufa maana hawakujiwekea hazina wenyewe huko mbinguni ambako nondo na kutu havipo!!
Hazina ninayozungumzia hapa ni kuwapenda na kuwasaidia binadamu wenzako wanapokuwa wahitaji (needy).....
Siku na wewe ukiwa muhitaji, Mungu akiangalia hazina yako anaona imejaa na Mara moja anaonekana wakati was mahitaji yako....
Hivi ndivyo ilivyo kwa Tundu Lissu. Tujifunze kutoka kwake