Tuwe wakweli jamani

Tuwe wakweli jamani

hatibu juma

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2012
Posts
278
Reaction score
37
SHULE BILA ADA:
Usitegemee ipo siku Serikali itaanza kugawa hela ili maisha yawe RAHISI...Never..Tangu enzi za Nyerere Mpaka Enzi za Jakaya kuna watu wamekuwa wakilalamika MAISHA NI MAGUMU lakini katika hayohayo maisha magumu MATAJIRI WALIKUWEPO na hata sasa MATAJIRI WAPO...
Kupoteza muda kulalamika MAISHA NI MAGUMU hakutayabadilisha Yawe Marahisi...Kitakachobadili kauli hii ni WEWE KUBADILIKA...Maisha hayatabadilika kamwe kama Wewe hubadiliki...
Unaishi maisha yaleyale,Una marafiki walewale,Unaishi kwa mbinu zilezile halafu unategemea LIFE WILL CHANGE...How??Kwa MAGAZIJUTO??
Wenzio kila siku wanatoka kimaisha wewe unabaki unatumbua macho tu kama umefumaniwa na Mke wa Askari wa BOKOHARAM,Life will always be tough if you are not TOUGHER enough to challenge it..
Kuwa Tough mpaka Maisha yenyewe yakikuona umeamka asubuhi yajue THE TROUBLEMAKER IS AWAKE!
Kuna wakati hapa juzi nilijihisi NNA VITU VINGI SANA nafanya mpaka nilipokaa na Mzee 1 ambaye ameoa,he is over 50 years na ameajiriwa,akanifungukia kuniambia mambo anayofanya..NIKASEMA SHKAMOO,kumbe mimi bado sana
Ana ajira inayomkeep Busy kama wengi wetu humu..Anafuga Nyuki wa Asali...Anafuga Samaki...Analima Mahindi..Ana mashamba ya Alizeti...Analisha Chakula..Ana tenda za kwenye Meli..Anafanya Cleaning service...Niliondoka ofisini kwake kwa hasira isiyo mfano nikasema kumbe bado nna mengi ya kufanya..
UNA REVENUE STREAMS NGAPI??Unalala kutegemea Mshahara tu ambao una PAYE na PPF???Wenzio wana Mirija 10 ya Kuingiza hela mwisho wa mwezi na wanainvest zaidi...Sawa Maisha ni Magumu,JE UMEFANYA JITIHADA GANI KUYALAINISHA???Tangu uanze kulalamika Maisha Magumu umeongeza hata sh 50 mezani???CHANGE UR LIFE OR DIE,kelele hazisaidii...! Maneno mengine ya ukweli hapo yanaumiza!








Yeloooioooo
 
SHULE BILA ADA:
Usitegemee ipo siku Serikali itaanza kugawa hela ili maisha yawe RAHISI...Never..Tangu enzi za Nyerere Mpaka Enzi za Jakaya kuna watu wamekuwa wakilalamika MAISHA NI MAGUMU lakini katika hayohayo maisha magumu MATAJIRI WALIKUWEPO na hata sasa MATAJIRI WAPO...
Kupoteza muda kulalamika MAISHA NI MAGUMU hakutayabadilisha Yawe Marahisi...Kitakachobadili kauli hii ni WEWE KUBADILIKA...Maisha hayatabadilika kamwe kama Wewe hubadiliki...
Unaishi maisha yaleyale,Una marafiki walewale,Unaishi kwa mbinu zilezile halafu unategemea LIFE WILL CHANGE...How??Kwa MAGAZIJUTO??
Wenzio kila siku wanatoka kimaisha wewe unabaki unatumbua macho tu kama umefumaniwa na Mke wa Askari wa BOKOHARAM,Life will always be tough if you are not TOUGHER enough to challenge it..
Kuwa Tough mpaka Maisha yenyewe yakikuona umeamka asubuhi yajue THE TROUBLEMAKER IS AWAKE!
Kuna wakati hapa juzi nilijihisi NNA VITU VINGI SANA nafanya mpaka nilipokaa na Mzee 1 ambaye ameoa,he is over 50 years na ameajiriwa,akanifungukia kuniambia mambo anayofanya..NIKASEMA SHKAMOO,kumbe mimi bado sana
Ana ajira inayomkeep Busy kama wengi wetu humu..Anafuga Nyuki wa Asali...Anafuga Samaki...Analima Mahindi..Ana mashamba ya Alizeti...Analisha Chakula..Ana tenda za kwenye Meli..Anafanya Cleaning service...Niliondoka ofisini kwake kwa hasira isiyo mfano nikasema kumbe bado nna mengi ya kufanya..
UNA REVENUE STREAMS NGAPI??Unalala kutegemea Mshahara tu ambao una PAYE na PPF???Wenzio wana Mirija 10 ya Kuingiza hela mwisho wa mwezi na wanainvest zaidi...Sawa Maisha ni Magumu,JE UMEFANYA JITIHADA GANI KUYALAINISHA???Tangu uanze kulalamika Maisha Magumu umeongeza hata sh 50 mezani???CHANGE UR LIFE OR DIE,kelele hazisaidii...! Maneno mengine ya ukweli hapo yanaumiza!








Yeloooioooo
 
Mleta uzi unavurugwa na magamba. UZI wako hauna mashiko

Amekurupuka Tu Kuleta Uzi Bila Research,watu Wapo Busy Kutafuta Pesa Mafanikio Yao Yanakwamishwa Na Serikali Chafu Ya Ccm,mama Lishe,machinga Wamenyanyaswa Sana Na Serikali Mbovu Ya Ccm,anaposema Eti Watu Wasitegemee Kupewa Hela Na Serikali Kuna Mtu Ameshagawahi Kuomba Pesa Serikalini? Serikali Ndo Inakwamisha Mafanikio Ya Watu,watu Hawalali Wanatafuta Pesa Halafu Serikali Hiyo Hiyo Inakuja Kuwapora Jasho Lao,wale Vijana Wa Mahenge Wakaporwa Mil 200 Na Zombe Kisha Wakapelekwa Kuuawa Msituni,mleta Mada Uzi Wako Ni Upuuzi Mtupu Hamna Point Kabisa,kwa Hiyo Uliamanisha Kuwa Vijana Hawajishughulishi Si Ndiyo? Rudi Tena Ukafanye Research Uone Jinsi Magamba Yalivyoharibu System Ya Utafutaji Wa Maisha Nchi Nzima,wachimbaji Wadogo Wanaenda Maporini Na Kuotea Sehemu Ilipo Dhahabu,yanakuja Magamba Na Kuwatimua Kwa Virungu Na Risasi Na Kuwapa Hayo Maeneo Majambazi Wenzao Yanayojiita Wawekezaji,mada Yako Ni Uharo Mtupu!
 
watu wamelima wameuza mazao serikalini toka mwezi wa 8 hadileo hawajalipwa .we umekurupukahuko huko eti watuhawajitumi! ebooo
 
Ngoja nione uelekeo wa hi thread.JUHUDI ZA UTAFUTAJI MAISHA + SERA NZURI ZA SERIKALI = MAENDELEO KWA MTAFUTAJI NA NCHI.
 
Maisha ni yetu sisi tusitumie siasa kwenye uharisia kunaa watu hawachangii kazii kuponda Mara magamba sasaa magamba yametoka wapi?jee nimeongelea siasaa hapoo kwan wewee kuwa huko uliko kumekufanya ule?uo n ushoga tambua vyama vya siasa havitakupa maisha safii ww kwani OK tanguu wabunge haoo unaowajua wewe wamekufanyia nn Kama sio wewee n mgongo wao wa kifanikiwa maisha yaoo na watoto wao mjinga UTAKUFA MASKINI
 
Nitajie haoo waliolima n hakina nanii?Kama sioo kufata ya. Kuambiwa JE UMEFANYA UTAFITI?££££
 
Maisha ni yetu sisi tusitumie siasa kwenye uharisia kunaa watu hawachangii kazii kuponda Mara magamba sasaa magamba yametoka wapi?jee nimeongelea siasaa hapoo kwan wewee kuwa huko uliko kumekufanya ule?uo n ushoga tambua vyama vya siasa havitakupa maisha safii ww kwani OK tanguu wabunge haoo unaowajua wewe wamekufanyia nn Kama sio wewee n mgongo wao wa kifanikiwa maisha yaoo na watoto wao mjinga UTAKUFA MASKINI

Mkuu Inaonekana Wewe Si Mtanzania Halisi Anayeijua Vyema Nchi Yake.
 
Kwa taarifa yako natokea ruvuma na kule tunazalisha maindi kwa wngii pia serikal imenunua mahnd tani laki nne na jeshi lilisomba magari na wananchi wamelipwa piaa katavii hvyohvyo OK nitajie sehemu kwa ww unaeijua nchi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom