Tuwe wakweli hivi TPB, NBC na NMB ipi ni bank ya serikali?

Kwa ninavyofahamu Mimi NBC ilibinafisishwa enzi za Benja kwa kampuni ya ABC kutoka South Africa
 
tuwe wakweli hivi TPB, NBC na NMB ipi ni bank ya serikali???

maana wikipedia inasema

TPB serikali inamiliki 85%
NMB serikali inamiliki 30%
NBC serikali inamiliki 30%

Ukweli unatuweka huru... je ni bank ipi ni ya serikali kati ya hizi bank???
NBC! Hii ishauzwa kwa wawekezaji wa nje kitambo sana!
 
Hivi ile Phd yake ni ya nini... Ninachojua hata sisi tuliosoma engineering kwa ngazi ndogo ya ka degree tumesoma uchumi na management....
Sasa najiuliza darasan alikuwa anaelewa au anakalili tu??
 
tuwe wakweli hivi TPB, NBC na NMB ipi ni bank ya serikali???

maana wikipedia inasema

TPB serikali inamiliki 85%
NMB serikali inamiliki 30%
NBC serikali inamiliki 30%

Ukweli unatuweka huru... je ni bank ipi ni ya serikali kati ya hizi bank???
Mwenye majority ndiye msemaji,ndiye mwenye uamuzi hata hesabu anatengeneza yeye,ndiyo mwenye menejimenti, Serikali ina B.o.T.
 
tuwe wakweli hivi TPB, NBC na NMB ipi ni bank ya serikali???

maana wikipedia inasema

TPB serikali inamiliki 85%
NMB serikali inamiliki 30%
NBC serikali inamiliki 30%

Ukweli unatuweka huru... je ni bank ipi ni ya serikali kati ya hizi bank???
Mkuu takwimu zinaongea!
 
NBC ilopuzwa Mzee Nyerere alijaribu kuzuia lakini alishindwa majengo yake yaliuzwa kwa bei ya kutupa na jengo moja wapo kigogo alimuuzia mwenziye yaani iligawanywa.
Watanzania waliumia sana kuona nchi haina benki ya biashara. Angalia Kenya ina KCB matawi EA yote inaita sana.
Ukishakuwa na aslimia chunvi ya 50 kwenye biashara we maskini
 
Huzi benki zote zina hisa za serikali. Sema tu matamshi tunayoyatoa hayana backing ya facts na hatupendi kujisumbua kuzitafuta. Tunapokuja kuumbuliwa huwa tunashupaa na kutumia ubabe kuhalalisha makosa na uongo wetu. Hatupo tayari kukubali mapungufu wala makosa yetu. Tunakoelekea ni kubaya sana.
 
Back
Top Bottom