Nathan Jr
JF-Expert Member
- Sep 14, 2017
- 1,437
- 1,875
Halo asubuhi ikoje huko,?
Naelekea kwenye mada moja kwa moja,
Najua hakuna binadamu aliyekamilika,
Kila mtu ana mapungufu yAke
Mwenzangu ana mapungufu haya
1. Mkikorofishana ananuna siku nzima hata kwa kitu kidogo zaweza pita hata siku tatu,
2. Tukikorofishana ukimbilia kuniblock whatsap na kuniweka blacklist kwenye calls za kawaida ,nami nikikausha anakuja mwenyewe baada ya siku kama tatu, atapiga eti "nimeona missed call yako unasemaje haha dah"
Au atatuma empty Sms kusikilizia kama ntauliza,
3. Hataki niwape marafiki zangu hela yaan hataki mpaka nijifiche au niwape kwa kuficha,
Je wa kwako ana mapungufu yapi?
Naelekea kwenye mada moja kwa moja,
Najua hakuna binadamu aliyekamilika,
Kila mtu ana mapungufu yAke
Mwenzangu ana mapungufu haya
1. Mkikorofishana ananuna siku nzima hata kwa kitu kidogo zaweza pita hata siku tatu,
2. Tukikorofishana ukimbilia kuniblock whatsap na kuniweka blacklist kwenye calls za kawaida ,nami nikikausha anakuja mwenyewe baada ya siku kama tatu, atapiga eti "nimeona missed call yako unasemaje haha dah"
Au atatuma empty Sms kusikilizia kama ntauliza,
3. Hataki niwape marafiki zangu hela yaan hataki mpaka nijifiche au niwape kwa kuficha,
Je wa kwako ana mapungufu yapi?