Tuwe na utamaduni wakupenda kusoma vitabu

Barriz

Member
Nov 29, 2015
21
3
Watanzania tumekua wavivu sana wakusoma vitabu mbali mbali kwani vitabu huongeza maaarifa na uwezo wa kufikiri kwa kiasi kikubwa. Tuwajengee watoto watu moyo wa kupenda kusoma vitabu. Na kwa wale ambayo wangependa kuwa na misamiati mingi wakati wa kuzungumza na kujenga hoja. Njia hiyo iko very aplicable
 
Watanzania wenye access ya kupitia pitia JF ninaamini wamekuelewa, na wale watanzania wengine sijuhi itakuwaje!
 
Back
Top Bottom