Seif Kazige Mbambizi
Senior Member
- May 7, 2016
- 135
- 92
Hakiri ni nini?
Kila siku tunajipa moyo kwamba siku moja kitaeleweka lakini siku zinakwenda hakuna jipya maisha ni yale yale ugumu ni ule ule siaamini upande ule kwasababu ni wale wale ni kama binamu tu, ni watani siku zote hakuna jinsi labda tutafute njia ya pili
Kila siku tunajipa moyo kwamba siku moja kitaeleweka lakini siku zinakwenda hakuna jipya maisha ni yale yale ugumu ni ule ule siaamini upande ule kwasababu ni wale wale ni kama binamu tu, ni watani siku zote hakuna jinsi labda tutafute njia ya pili