Tuwataje mawakili ambao sio wasomi

Tuwataje mawakili ambao sio wasomi

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,673
Reaction score
3,740
kuna msemo huwa unatumika sana eti wakili .......... msomi, sasa najiuliza ni wapi hao mawakili ambao sio wasomi hebu naombeni tuwataje
 
Wanajiona spesho sana ndo maana wanaongeza msomi
 
kuna msemo huwa unatumika sana eti wakili .......... msomi, sasa najiuliza ni wapi hao mawakili ambao sio wasomi hebu naombeni tuwataje
Hili neno hutumika kwa wanasheria kwa ujumla na siyo mawakili tu, yaani inajumuisha mahakimu hata na majaji. Hii si kwa Tanzania tu bali duniani kwa ujumla.
 
Hili neno hutumika kwa wanasheria kwa ujumla na siyo mawakili tu, yaani inajumuisha mahakimu hata na majaji. Hii si kwa Tanzania tu bali duniani kwa ujumla.
Sababu ya kulitumia neno msomi ni ipi na manake ni nini ndo tunachotaka kujua ni kwanini ilo neno liwepo maana kila mtu ni msomi kwa taaluma yake so haya mambo ya kuogopeshana mara wakili msomi mara sijui nini mimi waga siyaelewi
 
Hili neno hutumika kwa wanasheria kwa ujumla na siyo mawakili tu, yaani inajumuisha mahakimu hata na majaji. Hii si kwa Tanzania tu bali duniani kwa ujumla.
Sababu ya kulitumia neno msomi ni ipi na manake ni nini ndo tunachotaka kujua ni kwanini ilo neno liwepo maana kila mtu ni msomi kwa taaluma yake so haya mambo ya kuogopeshana mara wakili msomi mara sijui nini mimi waga siyaelewi
 
Sababu ya kulitumia neno msomi ni ipi na manake ni nini ndo tunachotaka kujua ni kwanini ilo neno liwepo maana kila mtu ni msomi kwa taaluma yake so haya mambo ya kuogopeshana mara wakili msomi mara sijui nini mimi waga siyaelewi


Ni field inayohitaji au kulazimu maisha yako yote yawe ya kusoma...ndo maana wanaitwa wasomi
 
Kuanzia Kesho Mwalimu Msomi Doctor Msomi Mbeba Mizigo Msomi Dereva Msomi Tingo Msomi Polisi Msomi Manina Zenu Wanatasnia Ya Sheria Kujipa Ujiko Sasa Bila Kusoma Mngekuwaje Mawakili Wanasheria? Au Nani Hajasoma
 
Kijana, uanasheria ni fani. Na kila fani au kitengo huwa na misemo, misamiati au teminolojia zake. Hilo neno wakili msomi hutumika kama utambulisho wa heshima kwa mlengwa. Lisikuumize sana akili. Na weye jitafutie lako kulingana na kipawa chako utuambie tukufahamu kwa aka yako.
 
mwalimu msomi hawa wengine wanajita wasomi ni kenge tu
 
Lisu
Kibatatala
Fatuma
Nyomongo
Fistula
Karai
Cherehani.
.
.
.mbona ni wengi tu.
 
Kuanzia Kesho Mwalimu Msomi Doctor Msomi Mbeba Mizigo Msomi Dereva Msomi Tingo Msomi Polisi Msomi Manina Zenu Wanatasnia Ya Sheria Kujipa Ujiko Sasa Bila Kusoma Mngekuwaje Mawakili Wanasheria? Au Nani Hajasoma
Mchangiaji msomi
 
Back
Top Bottom