Tuwape eneo wajenge bandari yao tuue zetu?

Manton

JF-Expert Member
Mar 27, 2012
1,164
1,520
Ndugu zangu wazalendo, kama swali lilivyoundwa, je, ni sawa kuwa kubalia ndugu zetu wa damu rafiki (Wachina) wajenge bandari kubwa kuliko zote Afrika, na kuimiliki kwa miaka kati 33 mpaka 99 bila kuwa bughudhi uko Bwagamoyo ' Bagomoyo, halafu tuue utendaji wa bandari zetu kongwe, Tanga , Dar es salaam na Mtwara na ujenzi wa reli ya kati wa kisasa almaarufu standard gauge rail(SGR)? Kwa maoni yangu binafsi 'si sawa' kuwa kubalia ombi lao. Karibu tujenge hoja.
 
Ndugu zangu wazalendo, kama swali lilivyoundwa, je, ni sawa kuwa kubalia ndugu zetu wa damu rafiki (Wachina) wajenge bandari kubwa kuliko zote Afrika, na kuimiliki kwa miaka kati 33 mpaka 99 bila kuwa bughudhi uko Bwagamoyo ' Bagomoyo, halafu tuue utendaji wa bandari zetu kongwe, Tanga , Dar es salaam na Mtwara na ujenzi wa reli ya kati wa kisasa almaarufu standard gauge rail(SGR)? Kwa maoni yangu binafsi 'si sawa' kuwa kubalia ombi lao. Karibu tujenge hoja.
Si sawa. Wakubaliane waziboreshe tulizo nazo
 
kuna bandiko kaweka bwana zitto kabwe humu ndani, mtoa mada hebu litafute litakupa mwanga fulani juu ya ulichoandika....
 
Ndugu zangu wazalendo, kama swali lilivyoundwa, je, ni sawa kuwa kubalia ndugu zetu wa damu rafiki (Wachina) wajenge bandari kubwa kuliko zote Afrika, na kuimiliki kwa miaka kati 33 mpaka 99 bila kuwa bughudhi uko Bwagamoyo ' Bagomoyo, halafu tuue utendaji wa bandari zetu kongwe, Tanga , Dar es salaam na Mtwara na ujenzi wa reli ya kati wa kisasa almaarufu standard gauge rail(SGR)? Kwa maoni yangu binafsi 'si sawa' kuwa kubalia ombi lao. Karibu tujenge hoja.
Wachina ni watu wakatili sana watu hawajui tu kule zambia nadhani wameishapola sehemu muhim za nchi nazani hadi baadhi ya polisi wale senior ni wachina kisa madeni haya haya huko west africa nako wameharibu hatari pakistani nao wameingia mkataba kama huu wa kishenzi kwa hili namuunga mkono rais kwa kuwapiga chini hawa jamaa ndugai atakua kapewa mlungula aongee na anajua yeye hana muda mrefu atakufa. Bandari ni kitu muhimu sana kwa nchi hivi ikishakua yao unazani tembo watapona huko porini manake watakua wanapitisha pembe bila mtu kuwakagua na vijamaa ni vikatili mno
 
Wachina ni watu wakatili sana watu hawajui tu kule zambia nadhani wameishapola sehemu muhim za nchi nazani hadi baadhi ya polisi wale senior ni wachina kisa madeni haya haya huko west africa nako wameharibu hatari pakistani nao wameingia mkataba kama huu wa kishenzi kwa hili namuunga mkono rais kwa kuwapiga chini hawa jamaa ndugai atakua kapewa mlungula aongee na anajua yeye hana muda mrefu atakufa. Bandari ni kitu muhimu sana kwa nchi hivi ikishakua yao unazani tembo watapona huko porini manake watakua wanapitisha pembe bila mtu kuwakagua na vijamaa ni vikatili mno
Tutapoteza kila kitu endapo tutawaacha wenye mamlaka wachache kusaini mikataba ya Kimangungo wa Msovero, katika karne hii ya 21.
 
Nilikuwa sijaelewa kumbe ule Mradi wa bandari pale bagamoyo ulikuwa ni mkataba wa Miaka 33+ ? Umilikiwe na wachina wenyewe !!!!

Hiyo siyo sawa kama ndivyo hivyo
 
Kwani uliwahi kuipitia MoU ya huo uliokuwa mradi?
Ndiyo, mkuu, nilikuwa na ngoja wakati muafaka niteme nyongo, maana wakati ule wa BRN, nisingeleweka kabisa. Ila wakati huu wa SGR kupingwa kwa ajili ya huo mradi ndiyo umenipalia kooni.
 
Nilikuwa sijaelewa kumbe ule Mradi wa bandari pale bagamoyo ulikuwa ni mkataba wa Miaka 33+ ? Umilikiwe na wachina wenyewe !!!!
Hiyo siyo sawa kama ndivyo hivyo
Ndivyo ilivyokuwa na ndivyo watakavyo, labda iwe kinyume chake kwa namna serikali ya awamu ya tano, ilivyoupa kisogo kwa kuona hauna tija. Tusubiri tuone, mheshimiwa Rais Magufuli, kama atashindwa na wimbi la shinikizo linalo mkabili kutokana na kauli potofu za baadhi wawakilishi wetu.
 
Ndiyo, mkuu, nilikuwa na ngoja wakati muafaka niteme nyongo, maana wakati ule wa BRN, nisingeleweka kabisa. Ila wakati huu wa SGR kupingwa kwa ajili ya huo mradi ndiyo umenipalia kooni.
Hakika wewe ni mwananchi mjenga nchi
 
Kwani sisi wenyewe taifa pendwa hatuwezi kujenga kabandari ketu ka kishkaji huku SGR ikiendelea kwa mwendo wa hapa Kazi tu.
Tunaweza, tatizo ni wale wa 'ten pasee' wanaona kafungu kao katakuwa kidunchu sana. Hao ndiyo wanao kwamisa maendeleo yetu.
 
Back
Top Bottom