GE2025 Tuwaepuke Agents of Proxy Wars in Tanzania!

GE2025 Tuwaepuke Agents of Proxy Wars in Tanzania!

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

funaku

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
38,534
Reaction score
31,199
Kitendo cha kupiga kura oktoba 29 ni jambo muhimu na hatua muhimu ya kuelekea uhuru kamili wa Tanzania.
Kwa miaka mingi Africa imekumbwa na migogoro inayosabsbishwa na vita baridi na vita kivuli(proxy war) baina ya mataifa makuu mawili yaani Mmarekani na mrusi.

Leo hii ukichunguza kwa kina na umakini utagundua kuwa vita vyovyote duniani nyuma yake yupo Mmarekani au Mrusi.

Vivyo hivyo ukichunguza maandamano yanayotokea nchi mbalimbali nyuma yake lazima utakuta ni vita kivuli kati ya mataifa makubwa.

Sasa kwa sisi tuliosoma na tulioangazia maswala ya GEOPOLITICS tunaona wazi kuwa chokochoko zote zitokeazo nchini zenye magnitude au ukubwa flani hutafsiriwa kama ni vita kivuli ya wababe wa dunia.
Zipo nyakati Mmarekani huandaa chaos dhidi ya mrusi au mrusi huandaa chaos dhidi ya mmarekani katika ardhi za nchi flani.

Kwa ufupi niseme mama Samia yupo vitani kuikabili vita kivuli(proxy war) ya wababe wa vita duniani na aghalabu hakuanza leo ...na pengine vita kivuli hii ndio iliyimuondoa mpendwa wetu J.P.M.

Zaidi niseme tuwakatae na kuwapuuza mawakala wa proxy wars wanaoshawishi maandamano yenye lengo la kuharibu haki yetu ya kidemokrasia.Tuwakatae na tuweke kisasi dhidi yao hata kama wapo ughaibuni.
Tanzania ina mali nyingi sana ndio maana wababe wawili au watatu wapo tayari kupambana ili kulinda mslahi yao.
#Kataa utumwa wa fikra
#Kataa vita kivuli
#oktoba ni tiki
 
Kataa matapeli!!! Kataa matekaji!! Kataa majizi!! Kataa mafisadi!! Kataa mauaji!!! Oktoba tunatoka!!!
 
Kataa matapeli!!! Kataa matekaji!! Kataa majizi!! Kataa mafisadi!! Kataa mauaji!!! Oktoba tunatoka!!!
najua ujumbe huu umewaumbua m-agents wote wa vita kivuli
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
unadhani viongozi wa ccm na umma wa watanzania ni mdebwedo?yaani wakutazame tu unachoma nyumba ya mtu...hujipendi?
 
Back
Top Bottom