Tuwaelimishe wagombea wetu..

Mlupembe

JF-Expert Member
Jan 31, 2014
445
209
Kwa UKAWA , kazi imekuwa rahisi ktk uchaguzi za serekali za mitaa , escrow imeturahisishia , lkn kuna kitu nimekiona katika kampeni zetu , mfano nimefika njombe semina ktk hoteli nliyofikia kwa njiani nimekuta kuna kampeni nimesikiliza nimesikia karibu wote wanakuwa hawaongei sera za kuwafanya watu wabadilike , wanawapaka polisi , aliyeongelea escrow ametukana tu basi , na kuwaponda wazee wanaojiita ccm damu , pia nikakuta ni bendera ya chadema tu.. Ila nashukuru nimetumia mda kidogo nikamweta kiongozi mmoja nikampa elimu ya kuwaelimisha hata hao wazee athari za escrow ni pamoja na kukosa madawa , kulipishwa mazao getini , kuchangia maabara , kukosa hata tiba bure kwa wazee ! Pia umuhimu wa kuweka bendera za washirika wote ili tuonyeshe umoja wetu japo akinishtua kuwa eti juju danda anazuia nccr mageuzi wasishirikiane nao, Naamimi wataelewa ! Sijawa na mda sana ila kwa nlivoona sie tusaidiane kutoa elimu kwa wagombea wetu... Juju namjua na ntamtafuta kabla kurudi dar asituchanganye.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…