Tuwachore...............

Tuwachore...............

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,037
Reaction score
34,741
11146258_667738073332910_6266636403444543836_n.jpg
 
Hata mi siku ile ya mgomo wa magari na wa maduka huwa siendagi kazini na huwa na furaha teli na huwa naomba dua iwe kila weeki migomo
 
Yaani kuna watu hua wapo makini kufuatilia matukio, kama unamdai au kuna kitu anatakiwa akufanyie kila ukimpigia simu utasikia " si unajua tena mgomo wa madereva..." mara "...haujasikia kuna mgao mkali wa umeme.." yaani hakosi sababu wakati matukio yenyewe hayamhusu ili mradi kujitetea tu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom