Yaani kuna watu hua wapo makini kufuatilia matukio, kama unamdai au kuna kitu anatakiwa akufanyie kila ukimpigia simu utasikia " si unajua tena mgomo wa madereva..." mara "...haujasikia kuna mgao mkali wa umeme.." yaani hakosi sababu wakati matukio yenyewe hayamhusu ili mradi kujitetea tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.