Tutumieni majini, kampeni madawa

Tutumieni majini, kampeni madawa

Mtafiti Madini

Senior Member
Joined
Oct 12, 2013
Posts
101
Reaction score
38
Wakuu,

Tukitaka tufanikiwe hii ishu ya mafawa, tutumieni majini kwa sababu zifuayazo;
1. Majini yanaweza kuona tusivyoviona.
2. Majini hayana siasa.
3. Majini hayatafuti sifa.

Naomba kuwasilisha
 
Back
Top Bottom