firstcollina
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 349
- 21
- Tanzania inapiga vita UKIMWI
- Tanzania inategemea sana vijana katika kujenga taifa bora hapo kesho.
- Tanzania inahitaji sana wajasiriamali na wafanyabiashara tena wazalendo katika kujenga na kukuza uchumi thabiti wa kitaifa......
- Tanzania inakubali tena inaunga mkono matumizi sahihi ya Kondomu bora, kama njia mojawapo ya kapambana na janga hili la ukimwi.
Hizo zote kwangu mimi ni advantages na Opportunities ambazo watanzania hatujazitumia ipasavyo, ndio maana nimeona bora niwape wenzangu wazo la kibiashara ili tu-discus tuone kama tunaweza tukangeneza vijisenti kidogo, at the same time tukajiunga katika harakati hizi za kuupiga vita ukimwi.
Au nyie hamuoni kwamba kwa kufanya hivyo tutakuwa tumeisaidia Tanzania katika harakati zake za kupambana na hili janga .....!!!?