Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Je kwa kuwa ni mwaka wa Uchaguzi wakoloni watatulegezea na kuleta mafao zaidi uraiani? Au ndo yaleyale ya kuleta Brazil, ziara zisizo na mantiki, blah blah za kumwaga?
Nasikia Mkwere alikuwa Bungeni sijui ndo kuweka mikakati ya kuwaziba midomo wale wapigania uhuru waliobaki?
Nasikia Mkwere alikuwa Bungeni sijui ndo kuweka mikakati ya kuwaziba midomo wale wapigania uhuru waliobaki?