Tutarajie mashambulizi mapya ya Wargner

Tutarajie mashambulizi mapya ya Wargner

Mudhaq said

Member
Joined
Jul 25, 2020
Posts
8
Reaction score
22
Muda wowote vikosi vya wargner pmc vitavuka mipaka kupitia Ukraine kwenda Belarus kwa usalama huku boss who prigozhn akiwa yupo moscow na Putin.

Kinachoendelea na kilichotokea ni propaganda za kivita na mpk sasa Urusi imeshinda watalam wakivita wanahamini ukiishambulia Ukraine kutokea Belarus ni ni rahisi kufika Kiev. Prigoznh anaenda Belarus kama ameisaliti kremlin hii ni danganya toto. Ukraine itakumbwa na mashambulizi mapya makubwa.

Vikosi vya chechen vipo njiani kuelekea bakhumut kuchukua nafasi ya wargner. Apo awali watu tulihamini vikosi hivyo vinaenda kupambana na wargner offensive inakaliwa na mapigo makubwa ya kimkakati
 
Muda wowote vikosi vya wargner pmc vitavuka mipaka kupitia Ukraine kwenda Belarus kwa usalama huku boss who prigozhn akiwa yupo moscow na putin

Kinachoendelea na kilichotokea ni propaganda za kivita na mpk ss urusi imeshinda watalam wakivita wanahamini ukiishambulia Ukraine kutokea Belarus ni ni rahisi kufika Kiev. Prigoznh anaenda Belarus kama ameisaliti kremlin hii ni danganya toto. Ukraine itakumbwa na mashambulizi mapya makubwa.

Vikosi vya chechen vipo njiani kuelekea bakhumut kuchukua nafasi ya wargner. Apo awali watu tulihamini vikosi hivyo vinaenda kupambana na wargner offensive inakaliwa na mapigo makubwa ya kimkakati
Wewe ujue ya Ukraine wkt hujui yanayoendelea bandarin
 
Muda wowote vikosi vya wargner pmc vitavuka mipaka kupitia Ukraine kwenda Belarus kwa usalama huku boss who prigozhn akiwa yupo moscow na putin

Kinachoendelea na kilichotokea ni propaganda za kivita na mpk ss urusi imeshinda watalam wakivita wanahamini ukiishambulia Ukraine kutokea Belarus ni ni rahisi kufika Kiev. Prigoznh anaenda Belarus kama ameisaliti kremlin hii ni danganya toto. Ukraine itakumbwa na mashambulizi mapya makubwa.

Vikosi vya chechen vipo njiani kuelekea bakhumut kuchukua nafasi ya wargner. Apo awali watu tulihamini vikosi hivyo vinaenda kupambana na wargner offensive inakaliwa na mapigo makubwa ya kimkakati
 
Muda wowote vikosi vya wargner pmc vitavuka mipaka kupitia Ukraine kwenda Belarus kwa usalama huku boss who prigozhn akiwa yupo moscow na putin

Kinachoendelea na kilichotokea ni propaganda za kivita na mpk ss urusi imeshinda watalam wakivita wanahamini ukiishambulia Ukraine kutokea Belarus ni ni rahisi kufika Kiev. Prigoznh anaenda Belarus kama ameisaliti kremlin hii ni danganya toto. Ukraine itakumbwa na mashambulizi mapya makubwa.

Vikosi vya chechen vipo njiani kuelekea bakhumut kuchukua nafasi ya wargner. Apo awali watu tulihamini vikosi hivyo vinaenda kupambana na wargner offensive inakaliwa na mapigo makubwa ya kimkakati
Sawa ustaadh munyaz atawasaidia urusi
 
Sasa mbona maripota hamueleweki?

Ina maana zile clip zilizokuwa zinapostiwa humu kuonesha Wagner wakishambuliwa na vikosi vya Urusi ilikuwa ni fake?

Ni fake kuwa wanajeshi wa Wagner hawakuuwawa na majeshi ya Urusi?

Ni mbinu gani hiyo ya kivita kwa kiongozi kukubali wanajeshi wake wafe ili kutengeneza propaganda kwa lengo la kuwafanya wapinzani waelewe kuwa Jeshi hilo limefanya uasi nchini kwake?
 
Muda wowote vikosi vya wargner pmc vitavuka mipaka kupitia Ukraine kwenda Belarus kwa usalama huku boss who prigozhn akiwa yupo moscow na Putin.

Kinachoendelea na kilichotokea ni propaganda za kivita na mpk sasa Urusi imeshinda watalam wakivita wanahamini ukiishambulia Ukraine kutokea Belarus ni ni rahisi kufika Kiev. Prigoznh anaenda Belarus kama ameisaliti kremlin hii ni danganya toto. Ukraine itakumbwa na mashambulizi mapya makubwa.

Vikosi vya chechen vipo njiani kuelekea bakhumut kuchukua nafasi ya wargner. Apo awali watu tulihamini vikosi hivyo vinaenda kupambana na wargner offensive inakaliwa na mapigo makubwa ya kimkakati
Dah watu mnaona mbali Sana,,,
 
Sasa mbona maripota hamueleweki?

Ina maana zile clip zilizokuwa zinapostiwa humu kuonesha Wagner wakishambuliwa na vikosi vya Urusi ilikuwa ni fake?

Ni fake kuwa wanajeshi wa Wagner hawakuuwawa na majeshi ya Urusi?

Ni mbinu gani hiyo ya kivita kwa kiongozi kukubali wanajeshi wake wafe ili kutengeneza propaganda kwa lengo la kuwafanya wapinzani waelewe kuwa Jeshi hilo limefanya uasi nchini kwake?
Wewe unawajua wapiganaji wa Wagna? Unahakika gani kwamba hao marehemu ulowaona ni wapiganaji wa Wagna mzee kuwa makini kabla hujaliwa kichwa
 
Muda wowote vikosi vya wargner pmc vitavuka mipaka kupitia Ukraine kwenda Belarus kwa usalama huku boss who prigozhn akiwa yupo moscow na Putin.

Kinachoendelea na kilichotokea ni propaganda za kivita na mpk sasa Urusi imeshinda watalam wakivita wanahamini ukiishambulia Ukraine kutokea Belarus ni ni rahisi kufika Kiev. Prigoznh anaenda Belarus kama ameisaliti kremlin hii ni danganya toto. Ukraine itakumbwa na mashambulizi mapya makubwa.

Vikosi vya chechen vipo njiani kuelekea bakhumut kuchukua nafasi ya wargner. Apo awali watu tulihamini vikosi hivyo vinaenda kupambana na wargner offensive inakaliwa na mapigo makubwa ya kimkakati
Wewe ni kilaza hujui unachozungumza sijui kwanini shule zetu zinazalisha vilaza namna hii
 
Muda wowote vikosi vya wargner pmc vitavuka mipaka kupitia Ukraine kwenda Belarus kwa usalama huku boss who prigozhn akiwa yupo moscow na Putin.

Kinachoendelea na kilichotokea ni propaganda za kivita na mpk sasa Urusi imeshinda watalam wakivita wanahamini ukiishambulia Ukraine kutokea Belarus ni ni rahisi kufika Kiev. Prigoznh anaenda Belarus kama ameisaliti kremlin hii ni danganya toto. Ukraine itakumbwa na mashambulizi mapya makubwa.

Vikosi vya chechen vipo njiani kuelekea bakhumut kuchukua nafasi ya wargner. Apo awali watu tulihamini vikosi hivyo vinaenda kupambana na wargner offensive inakaliwa na mapigo makubwa ya kimkakati
Pumbavu Putin,hatashinda,na wala hana uwezo wa kwenda Kiev, Putin atauawa wakati wowote kuanzia sasa.
Russia ina mkosi wa kutawaliwa na madikteta,
 
Back
Top Bottom