Jibu ni
a) 8 yaani mama mjamzito=mke,watoto wa2 chini ya miaka mitano = mtoto mmoja mdogo + mwingine aliyepo tumboni kwa mama yake+ mzee mwita.
b) jibu ni 5. Waliolala ni mama mwenye ujauzito n katoto kake tumboni na mtoto mwingine chini ya 5yrs na wasiolala ni watano.Watoto wanne wakubwa na Baba yao mzee Mwita.