ahsante kwa mchango wako mzr mkuu..Ufanyaji wa ngono tena wa ovyo ni wa watu waliokata tamaa! May be amepita mahala akahisi ameukwaa au ni broken heart na anafanya km either kulipiza kisasi au kupunguza machungu. Since ur the close friend anza kujua why anafanya hvo? For leisure? Revenge? Or he have no hope? Ukishajua ndipo unaweza kumsaidia mawazo na pia kumshawishi kupima kwani ushauri bila kujua orign of the behvr ni useles na haitakuwa na faida. So ask him why...then mengne yatakuja automaticaly!
nitafata ushauri wako mkuu..Kama ni mtu wako wakaribu sana na unayo sema yanatoka moyoni mwako,basi tafuta sehemu muende mkaongee na atakueleza ukweli ulokua ndani ya moyo wake na lakini uwe tayari kumsaidia kwa hali na mali sio akwambie uyaone mazito umkimbie utamumiza sana moyo wake,
Njoo ufanyiwe maombi, njoo uombewe. Huu ndio ushauri wangu kwako, usiteseke buree! Ukiombewa tatizo lako ni dogo hiloo, njoo ufanyiwe maombi. B- mwaitege.
habari wanaJF!Napenda kuwasilisha hili:mimi nina rafiki yangu ni graduate mwk huu.tatizo lake ni kwamba anapenda sana ng**o amekuwa akibadilisha wanawake kama nguo n wakati huohuo anachukua na machangudoa usiku hasa pindi bado yuko chuo,,tena kibaya zaidi amekuwa akifanya ng**o zembe tumejaribu sana kumshauri ss tumeamua kumwacha kama alivyo,ukimwi hataki kupima..ss ningependa kuuliza hivi hii hali inatokana na nn hasa?tamaa au ndo pepo wa ngono??.unawezaje kumsaidia mtu kama huyu??.maana anakoelekea kaburi linamuita.