jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,602
- 3,781
Hakika Bwana ametoa na Bwana ametwaa,jina la Mungu wetu aliye hai libarikiwe.
Very very sad...
Yanapotokea haya huwa naukumbuka wimbo wa Ambassadors of Christ ya Rwanda ,"kwa nini umeruhusu""? Inahuzunisha sana, sijui mke wake atakuwa anahali gani?
Kaacha pengo kubwa sana hata hapa Jf...mwenyezi Mungu amrehemu. Amen.
Ccm watu wabaya sana.
swissme