jamani mnamwona asprin anayoyafanya,hata chembe ya majuto hana!
jg kumbe hata wewe hujipendi?
BishangaHakika nasema iko siku mtu atamwagiwa uji wa moto humu jamvini. We fikiria mtoto wa kiume umejikunja,ukajinyima ukawekeza ,halafu jitu kama Erickb52 , Nyani Ngabu au Asprin linakuja linaparamia tu kisa eti kauza gunia mbili za bange yake tarime,nyie subirini tu iko siku ntavaa mabomu nijitoe mhanga,nimechoka,nasema nimechoooooooooka na ukware wenu.
umesahau walivyokufanzia kwa cacico? Hawajaacha hawa urugaruga wao,sasa wameuhamishia kwa The secretary na Lizzy.Kuna mtu ntamsaga korodani,hawanijui hawa.
Hakika nasema iko siku mtu atamwagiwa uji wa moto humu jamvini. We fikiria mtoto wa kiume umejikunja,ukajinyima ukawekeza ,halafu jitu kama Erickb52 , Nyani Ngabu au Asprin linakuja linaparamia tu kisa eti kauza gunia mbili za bange yake tarime,nyie subirini tu iko siku ntavaa mabomu nijitoe mhanga,nimechoka,nasema nimechoooooooooka na ukware wenu.
We lalamika tu ila The secretary si mkeo kuanzia sasa!umesahau walivyokufanzia kwa cacico? Hawajaacha hawa urugaruga wao,sasa wameuhamishia kwa The secretary na Lizzy.Kuna mtu ntamsaga korodani,hawanijui hawa.
Hapa hakuna mtuhumiwa sema huyu Bishanga ndio mtuhumiwa tena kwa kutupa vitisho bila sababu!Jamani wahusika njooni mjibu tuhuma zenu mapema msisababishe bishanga matatizo buree wengine hatautaki kuwakosa jamani!!!!
Hapa hawezi....kwanza kashafilisika hata hiyo nauli ya kwenda Kigoma ataipata wapi Young Master ?Ha ha haaaaa! wageuze kuwa kuku wa maziwa mkuu.
Aisee!!!pole zake kumbe mwenye nguvu mpishe...!!!!!Hapa hakuna mtuhumiwa sema huyu Bishanga ndio mtuhumiwa tena kwa kutupa vitisho bila sababu!
Mi nimempenda The secretary nimemwaga sera zimekubalika mtoto kaingia mikononi so nina kosa Shixi889 ?
Kaka Judgement nimeamini kweli we umepevuka na unastahili kupewa jukumu la kuongoza jamii....!Nakuhurumia! Jambazi unamtishia manati?
Usipeme maji ya bahari kwa kidole! Kama unahitaji nikuokoteshe makopo ukiwa umevaa nguo za kuogea, endelea!
Tatizo haka kazee kanataka kumiliki mtoto mdogo....mbichi ( The secretary ) wakati vijana bado tupo.....kwanini atuzeeshee binti wadogo bure? Shixi889 mwache akauze ndizi Tandale sokoni ndo apate akili!Aisee!!!pole zake kumbe mwenye nguvu mpishe...!!!!!