technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,695
- 52,319
Kwanza nieleweke tu kuwa ningemuunga mkono Makonda kama tungewakamata wanaoingiza mizigo ya madawa Tanzania kutoka Pakistan,Brazil India,Colombia na kwingine kwa kutumia mgongo wa Wao kuwa wanachana wakubwa wa chama cha siasa kufika mpaka kuzima vifaa vya kupekulia mizigo Airport na bandalini ili tu waingize mzigo kuua ndugu zetu...
Wabunge maarufu,Mawaziri maarufu,Wafanyabishara wakubwa wameamua kuwaua vijana halafu leo unaenda kumkamata eti Chid Benz?......
Tupo serious kweli na hii vita ?
Makonda utashindwa vibaya sana vita Yako na madawa ya kulevya kwanza wewe mwenyewe anajua kabisa watu unaoshinda nao ni wakina nani na wametoka wapi wanafanya nini...............
Kwanza tayari ameshaanza kufanya makosa makubwa ya kisheria kitendo chake cha kumkamata na kumzuia mtu rumande kwa kumtuhumu kuwa anauza madawa ya kulevya bila kumkamata na mzigo kama alivyofanya kwa Wema Sepetu ni hatari na kesi inaweza kugeuka akipata wakili Mwenye weredi wa kumtetea ...........
Issue ya madawa ni issue sensitive sana huwezi kumtuhumu mtu bila kumkamata na mzigo wa Mali wenyewe eti kwa ushahidi wa kusikia tu kwenye udaku ndio maana kila siku mnashindwa kesi .............
Halafu eti unawatangaza police wanauza madawa na kesi yao unaipeleka police,police ndio washugulikie kesi ya police wenzao jamaa unachekesha kweli ulitakiwa wakati unatangaza kwenye vyombo vya habari files zao ziwe kwa DPP kwa ajiri ya kwenda Mahakamani na kufungwa moja Kwa moja............
Kufanya hivyo tu tayari umeshashindwa wala hakuna mjadala hapo........
Kumbuka hii ni vita ya kidunia usizani tycoon kule Pakistan, India,Mexico na Colombia watakubali kupoteza soko kwa sababu eti mkuu wa mkoa kakamata mateja Tanzania.........
Watu wa madawa kila nchi wapo kwenye system zote ndani ya mfumo na nje ya mfumo na uwa hawajibu kwa maneno wao ujubu kwa vitendo...........
Naomba huu Uzi uwe kumbukumbu kwa Makonda kushindwa tena kwa Mala ya nane ndani ya mwaka wake mmoja kama mkuu wa mkoa kama alivyoshindwa kwenye......
Makahaba......
Mashoga.........
Omba omba........
Wauza Shisha........
Watu kutolala Gesti mchana......
Nauli kwa walimu............
Kuandikisha watu wote wasio na kazi Dar...........
Wabunge maarufu,Mawaziri maarufu,Wafanyabishara wakubwa wameamua kuwaua vijana halafu leo unaenda kumkamata eti Chid Benz?......
Tupo serious kweli na hii vita ?
Makonda utashindwa vibaya sana vita Yako na madawa ya kulevya kwanza wewe mwenyewe anajua kabisa watu unaoshinda nao ni wakina nani na wametoka wapi wanafanya nini...............
Kwanza tayari ameshaanza kufanya makosa makubwa ya kisheria kitendo chake cha kumkamata na kumzuia mtu rumande kwa kumtuhumu kuwa anauza madawa ya kulevya bila kumkamata na mzigo kama alivyofanya kwa Wema Sepetu ni hatari na kesi inaweza kugeuka akipata wakili Mwenye weredi wa kumtetea ...........
Issue ya madawa ni issue sensitive sana huwezi kumtuhumu mtu bila kumkamata na mzigo wa Mali wenyewe eti kwa ushahidi wa kusikia tu kwenye udaku ndio maana kila siku mnashindwa kesi .............
Halafu eti unawatangaza police wanauza madawa na kesi yao unaipeleka police,police ndio washugulikie kesi ya police wenzao jamaa unachekesha kweli ulitakiwa wakati unatangaza kwenye vyombo vya habari files zao ziwe kwa DPP kwa ajiri ya kwenda Mahakamani na kufungwa moja Kwa moja............
Kufanya hivyo tu tayari umeshashindwa wala hakuna mjadala hapo........
Kumbuka hii ni vita ya kidunia usizani tycoon kule Pakistan, India,Mexico na Colombia watakubali kupoteza soko kwa sababu eti mkuu wa mkoa kakamata mateja Tanzania.........
Watu wa madawa kila nchi wapo kwenye system zote ndani ya mfumo na nje ya mfumo na uwa hawajibu kwa maneno wao ujubu kwa vitendo...........
Naomba huu Uzi uwe kumbukumbu kwa Makonda kushindwa tena kwa Mala ya nane ndani ya mwaka wake mmoja kama mkuu wa mkoa kama alivyoshindwa kwenye......
Makahaba......
Mashoga.........
Omba omba........
Wauza Shisha........
Watu kutolala Gesti mchana......
Nauli kwa walimu............
Kuandikisha watu wote wasio na kazi Dar...........