Watu wengine bwana, sasa unatka ushauri gani?
Someone has cheated, kuna mawili msamehe (kitu ambacho inaonekana umeshakifanya) au umuache. Hayo ndio maamuzi baada ya usaliti. Sasa sijui unataka nini zaidi, kama ni heshima za kiafrika na kwa sababu ya "heshima ya kuolewa" we endelea nae tu.