nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 5,736
- 6,972
Kwani huo uwanja nao ni wa lami?Je, tukiangalia depreciation ya shillingi tangu mwaka 2006 uwanja ulipojengwa, kuna uwiano na uhalisia au tumepigwa?
View attachment 870241
Maana kwa kuangalia kwa haraka haraka zinatoka flyover kama 5 hivi kwenye huo uwanja