Tutaarifiane kuhusu community health

Tutaarifiane kuhusu community health

midida

Member
Joined
Sep 17, 2015
Posts
57
Reaction score
0
wakuu tusaidiane kwa hili kwa yeyote mwenye taarifa za community health applicants
 
Mkuu bora hata umeanzisha uzi. Wote tulioomba hiyo kozi tupate sehemu ya kupata taarifa muhimu. Mimi ukurasa wangu kila nikiangalia naambiwa bado wako kwenye mchakato
 
Kwangu pia hakuna mabadiliko ila kwa mwenye taarifa atufahamishe
 
Roho inauma ila tujipe moyo. Kupitia Uzi huu tupeane updates dears!!! Lakini nadhan hawapo mbali!! Fani ina akili sana nadhan kuanzia mwakan competition itakuwa kubwa sana ndipo hapo watakapogonga "tufungulie, tufungulie" tutawajibu, hatukufunga sisi.
 
Roho inauma ila tujipe moyo. Kupitia Uzi huu tupeane updates dears!!! Lakini nadhan hawapo mbali!! Fani ina akili sana nadhan kuanzia mwakan competition itakuwa kubwa sana ndipo hapo watakapogonga "tufungulie, tufungulie" tutawajibu, hatukufunga sisi.
 
roho inauma ila tujipe moyo. Kupitia uzi huu tupeane updates dears!!! Lakini nadhan hawapo mbali!! Fani ina akili sana nadhan kuanzia mwakan competition itakuwa kubwa sana ndipo hapo watakapogonga "tufungulie, tufungulie" tutawajibu, hatukufunga sisi.

ha ha ha ha!
Mambo ya safina ya nuhu sio!
 
jaman wakuu nimesikia kuwa Tumain Mbeya Centre wakishitikiana na NACTE wanatoa kozi hiyo teena buree.
sasa najiuliza je ni kweeli?? na kama ni kweeli muda si ushapita wa ku apply??
jama wenye taarifa wanijuze nina mdogo wangu alichelewa ku apply na anavigezo. plz help
 
Roho inauma ila tujipe moyo. Kupitia Uzi huu tupeane updates dears!!! Lakini nadhan hawapo mbali!! Fani ina akili sana nadhan kuanzia mwakan competition itakuwa kubwa sana ndipo hapo watakapogonga "tufungulie, tufungulie" tutawajibu, hatukufunga sisi.

lakn minaona wako mbal 7bu muda wa kuripot wao wanadai n 2 novemba
 
jaman wakuu nimesikia kuwa Tumain Mbeya Centre wakishitikiana na NACTE wanatoa kozi hiyo teena buree.
sasa najiuliza je ni kweeli?? na kama ni kweeli muda si ushapita wa ku apply??
jama wenye taarifa wanijuze nina mdogo wangu alichelewa ku apply na anavigezo. plz help

jaribun kuwasliana na nacte
 
jaman wakuu nimesikia kuwa Tumain Mbeya Centre wakishitikiana na NACTE wanatoa kozi hiyo teena buree.
sasa najiuliza je ni kweeli?? na kama ni kweeli muda si ushapita wa ku apply??
jama wenye taarifa wanijuze nina mdogo wangu alichelewa ku apply na anavigezo. plz help

hta me nmeckia hivyo kikubwa tupate contact zahicho chuo ili watusaidie
 
wakuu nimewaulza nacte kwenye ukurasa wao fb wamenjbu kuwa tuendelee kusubr selection kwan hata hvyo walikuwa wameongeza deadline 23/10/2015 hvyo wamedai tuwe na subra kwan muda haugandi.
 
wakuu nimewaulza nacte kwenye ukurasa wao fb wamenjbu kuwa tuendelee kusubr selection kwan hata hvyo walikuwa wameongeza deadline 23/10/2015 hvyo wamedai tuwe na subra kwan muda haugandi.

wadau tupeane taarifa mbona mpo kimya
 
Back
Top Bottom