Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,397
- 7,979
Eti inakuwaje kamanda wa ulinzi na usalama wilayani analaumu wanausalama wenzie kusababisha watoto wetu kufa pale Luxury Pub badala ya kuanza kujilaumu yeye kwa kutowapanga vizuri. Jamani tuanze kuwajibika kwa matendo yetu....