Tusubiri mechi kati ya Simba Sc na TFF hiyo saa moja.

Mechi ya Yanga vs Azam ilibadilishwa kutoka saa 10 hadi saa 2:15 usiku na matangazo yalitolewa saa 6 mchana siku hiyohiyo ya mechi. Mechi ya Yanga vs Biashara United ilisogezwa mbele kutoka saa 10 hadi saa 1 na taarifa zilizotolewa saa 8 mchana siku hiyohiyo ya mechi. Katika mabadiliko hayo ya ratiba hatukuona watu wanagomea mchezo Je, ni kweli sababu za Yanga zina mashiko

Bongo Sihami
 
IMG-20210508-WA0282.jpg
 
Mechi ya Yanga vs Azam ilibadilishwa kutoka saa 10 hadi saa 2:15 usiku na matangazo yalitolewa saa 6 mchana siku hiyohiyo ya mechi. Mechi ya Yanga vs Biashara United ilisogezwa mbele kutoka saa 10 hadi saa 1 na taarifa zilizotolewa saa 8 mchana siku hiyohiyo ya mechi. Katika mabadiliko hayo ya ratiba hatukuona watu wanagomea mchezo Je, ni kweli sababu za Yanga zina mashiko

Bongo Sihami
Mkuu, kosa alihalalishwi na kosa jingine.

Kila mechi inayosogezwa mbele, sababu huwa zinawekwa wazi. Je, mechi hii sababu yake ni ipi?

Alaf ukirudi nyuma, hii mechi ilisogezwa mbele kipindi cha nyuma. We ushabiki pembeni, TFF wamechemka kupokea order za kisiasa.
 
Mechi ya Yanga vs Azam ilibadilishwa kutoka saa 10 hadi saa 2:15 usiku na matangazo yalitolewa saa 6 mchana siku hiyohiyo ya mechi. Mechi ya Yanga vs Biashara United ilisogezwa mbele kutoka saa 10 hadi saa 1 na taarifa zilizotolewa saa 8 mchana siku hiyohiyo ya mechi. Katika mabadiliko hayo ya ratiba hatukuona watu wanagomea mchezo Je, ni kweli sababu za Yanga zina mashiko

Bongo Sihami
Hii sio kweli, taarifa ilitolewa tarehe 21 wakati mechi ilikuwa tarehe 25, acheni kutetea ujinga

Screenshot_20210508-222700_WhatsApp.jpg
 
Watuwekee hiyo barua ya waziri huu usanii TFF au Simba tumechoka nao
Mkuu, kosa alihalalishwi na kosa jingine.

Kila mechi inayosogezwa mbele, sababu huwa zinawekwa wazi. Je, mechi hii sababu yake ni ipi?

Alaf ukirudi nyuma, hii mechi ilisogezwa mbele kipindi cha nyuma. We ushabiki pembeni, TFF wamechemka kupokea order za kisiasa.
 
Asante mkuu kwa hii reference. Tanzania ni nchi inayoongozwa na wajinga, na pia wananchi wake wengi vilaza.

Hata sehemu yenye uhalisia, watu wanaongozwa na ushabiki au mihemko. Tff wamezingua kwa ili.
Tatizo watu wenye tabia za unjuka ni wengi.
 
Back
Top Bottom