Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 4,057
- 2,637
Jamani kwa wale tulioko Bongo, hasa tunaotumia ulabu aina ya Tusker tunateseka sas hivi maana Tusker zimeadimika kwenye mastarehe yetu. kuna anayejua nini kimetokea?
Tusker hamna lolote - Kunywa Serengeti Lager bwana!
Hii tunaweza tukaita ni kinga ya biashara kwa TBL. Hawa EABL walipofunga virago baada ya ushindani mkali na promotion zenye rafu nyingi wakiwa wanatamba na bia yao ya kibo gold na promosheni ya jishindie gari. TBL waliamua kuichukua bia hii kwa mkataba wa kibiashara na eabl kwa kuwa ilikuwa inahitajika sana sokoni na bado ilikuwa na wateja wengi tu. TBL waliendelea kuizalisha hii bia, tatizo ni kwamba iliendelea kufanya vuzuri mno sokoni na hii maana yake ni kama TBL waliendelea kuipromoti bia ya wapinzani wao kibiashara na walikuwa wanawalipa kwa kila mauzo yanayofanyika kwa kutumia brand hii.Jamani kwa wale tulioko Bongo, hasa tunaotumia ulabu aina ya Tusker tunateseka sas hivi maana Tusker zimeadimika kwenye mastarehe yetu. kuna anayejua nini kimetokea?
Hii tunaweza tukaita ni kinga ya biashara kwa TBL. Hawa EABL walipofunga virago baada ya ushindani mkali na promotion zenye rafu nyingi wakiwa wanatamba na bia yao ya kibo gold na promosheni ya jishindie gari. TBL waliamua kuichukua bia hii kwa mkataba wa kibiashara na eabl kwa kuwa ilikuwa inahitajika sana sokoni na bado ilikuwa na wateja wengi tu. TBL waliendelea kuizalisha hii bia, tatizo ni kwamba iliendelea kufanya vuzuri mno sokoni na hii maana yake ni kama TBL waliendelea kuipromoti bia ya wapinzani wao kibiashara na walikuwa wanawalipa kwa kila mauzo yanayofanyika kwa kutumia brand hii.
Ndipo hapo TBL waliona kwamba hii ni biashara kichaa na wakaamua kuiboresha Ndovu tuijuayo sasa chupa ndogo wakiamini itakidhi haja ya soko la tusker.