Ninaweza kukihakikishia kuwa lengo langu kuu lilikuwa ni kuleta furaha, tabasamu katika sura yake....hapo kwenye "kilichofuata kila mtu anajua" ndo umeharibu kila kitu...hivi huwez msaidia mtu kwa moyo safi mpaka ufanye naye uzinzi......na wote msivyo kuwa na busara ndani ya siku moja mkazin....kweli kizaz hiki ni cha uzinz na zinaa......Mungu aturehemu
baya ulilofanya hapo ni uzinzi tu.....ndugu yangu furaha inayotokana na dhambi huwa ni ya muda mfupi tuNinaweza kukihakikishia kuwa lengo langu kuu lilikuwa ni kuleta furaha, tabasamu katika sura yake....
Na hio ndio ilikuwa njia pekee kwa wakati huo. Haswa kwa mwanamke aliye katika situation ya namna ile....
Nadhani hakuna baya ambalo nililomfanyia.