Tusitishane: Hakuna maisha baada ya kifo!

Huenda aliyekata tamaa na maisha anafikiria kuna maisha baada ya kifo. Angalia watu wa ulimwengu wa tatu wanavyoamini maisha baada ya kifo. Ukimpiga kofi upande wa kushoto anakugeuzia na upande wa kulia akifikiria maisha ya mbinguni.

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…