johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,031
- 142,090
AamenNi katika kukumbushana tu kwani Tundu Lisu ana kesi pale mahakama ya kisutu.
Kuna wakati lilipelekwa ombi mahakamani kwamba dhamana ya Lisu ifutwe na mdhamini ajitoe kwa kuwa Lisu ameshindwa kuhudhuria mahakamani bila taarifa.
Hakimu alilikataa ombi hilo kwa kusema kuwa Tundu Antipas Lisu ni mgonjwa na taifa zima linajua.
Mwenye masikio na asikie
Maendeleo hayana vyama!
Unajua shetani hakuridhika baada ya uamuzi huo wa hakimu ndio akapanga mbinu hii mpya ya kishamba na kilimbukeni .Ni katika kukumbushana tu kwani Tundu Lisu ana kesi pale mahakama ya kisutu.
Kuna wakati lilipelekwa ombi mahakamani kwamba dhamana ya Lisu ifutwe na mdhamini ajitoe kwa kuwa Lisu ameshindwa kuhudhuria mahakamani bila taarifa.
Hakimu alilikataa ombi hilo kwa kusema kuwa Tundu Antipas Lisu ni mgonjwa na taifa zima linajua.
Mwenye masikio na asikie
Maendeleo hayana vyama!
Akili yako inakusaidia tu kukwepa usigongwe na Bajaji. Meaning...uwezo wako wa kufikiri ni level ya sisimizi...Office ya speaker haijawai kupata barua yeyote kutoka kwa lissu au kwa mwanasheria wake.Kingine ni kwamba katibu alileta urafiki kumuandikia barua kaka yake kutaka kumuuliza mdogo wake huko wapi lakini lissu hakujibu,nadhani hana mawasiliano mazuri na kaka yake aliyemlea learned brother Alute Mwighai.
Kwani Lisu alijeruhiwa akiwa jimboni kwake au bungeni?!Office ya speaker haijawai kupata barua yeyote kutoka kwa lissu au kwa mwanasheria wake.Kingine ni kwamba katibu alileta urafiki kumuandikia barua kaka yake kutaka kumuuliza mdogo wake huko wapi lakini lissu hakujibu,nadhani hana mawasiliano mazuri na kaka yake aliyemlea learned brother Alute Mwighai.
Pasingekuwa na kifo binadamu wangeoneana sana......hivi tu kwamba kila nafsi itaonja mauti lakini kuna watu wanatenda kana kwamba wataishi milele!..Spika anajua kuwa TL ni mgonjwa.
..ila ameamua tu kumfanyia ukatili.
..nadhani kosa la TL ni kuonyesha kuwa anapata nafuu na kuonekana ni mtu mwenye furaha na bashasha.
..tangu wamuone anakula mshikaki basi wameanza kumuandama utafikiri amekula nyama ya binadamu.
Kama ni hivyo (kwamba Mahakama inajua Lissu ni mgonjwa) kelele zote za kumdhihaki Spika ni za nini? Lissu, ambaye ni mwanasheria, si aende tu mahakamani 'amkomoe' Spika amrudishie ubunge wake. Hapo ndipo tutajua mwenye busara ni nani. Haimsaidii cho chote Lissu kukaa akilalamika mitandaoni.Ni katika kukumbushana tu kwani Tundu Lisu ana kesi pale mahakama ya kisutu.
Kuna wakati lilipelekwa ombi mahakamani kwamba dhamana ya Lisu ifutwe na mdhamini ajitoe kwa kuwa Lisu ameshindwa kuhudhuria mahakamani bila taarifa.
Hakimu alilikataa ombi hilo kwa kusema kuwa Tundu Antipas Lisu ni mgonjwa na taifa zima linajua.
Mwenye masikio na asikie
Maendeleo hayana vyama!
Kwani akilalamika mitandaoni anakuwa amekiuka kifungu gani cha katiba ya JMT?!!Kama ni hivyo (kwamba Mahakama inajua Lissu ni mgonjwa) kelele zote za kumdhihaki Spika ni za nini? Lissu, ambaye ni mwanasheria, si aende tu mahakamani 'amkomoe' Spika amrudishie ubunge wake. Hapo ndipo tutajua mwenye busara ni nani. Haimsaidii cho chote Lissu kukaa akilalamika mitandaoni.
Ni katika kukumbushana tu kwani Tundu Lisu ana kesi pale mahakama ya kisutu.
Kuna wakati lilipelekwa ombi mahakamani kwamba dhamana ya Lisu ifutwe na mdhamini ajitoe kwa kuwa Lisu ameshindwa kuhudhuria mahakamani bila taarifa.
Hakimu alilikataa ombi hilo kwa kusema kuwa Tundu Antipas Lisu ni mgonjwa na taifa zima linajua.
Mwenye masikio na asikie
Maendeleo hayana vyama!
Tatizo Lisu naye anautaka Uenyekiti wa Chadema taifa kwa nguvu zote na Job na Freeman ni marafiki wakubwa.Yohana ahsante kwa kuona hilo...ila chama chako na genge lake la waovu hawapendi kumwona Lissu akiwa ana uhai...
Tatizo Lisu naye anautaka Uenyekiti wa Chadema taifa kwa nguvu zote na Job na Freeman ni marafiki wakubwa.
Unakumbuka Job aliporejea kutoka India kwenye matibabu kamanda Aikael alishinda pale salasala siku nzima kumfariji mgonjwa!