johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,873
Ni katika kukumbushana tu kwani Tundu Lisu ana kesi pale mahakama ya kisutu.
Kuna wakati lilipelekwa ombi mahakamani kwamba dhamana ya Lisu ifutwe na mdhamini ajitoe kwa kuwa Lisu ameshindwa kuhudhuria mahakamani bila taarifa.
Hakimu alilikataa ombi hilo kwa kusema kuwa Tundu Antipas Lisu ni mgonjwa na taifa zima linajua.
Mwenye masikio na asikie
Maendeleo hayana vyama!
Kuna wakati lilipelekwa ombi mahakamani kwamba dhamana ya Lisu ifutwe na mdhamini ajitoe kwa kuwa Lisu ameshindwa kuhudhuria mahakamani bila taarifa.
Hakimu alilikataa ombi hilo kwa kusema kuwa Tundu Antipas Lisu ni mgonjwa na taifa zima linajua.
Mwenye masikio na asikie
Maendeleo hayana vyama!