Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,346
- 26,138
Haya masuala ya tezi dume, PAC na Escrow,Utafiti wa Twaweza na kadhalika yasitusahaulishe. Mbele yetu kuna suala la Katiba mpya,yaani kura ya maoni. Kura ya Maoni itatanguliwa na kampeni juu ya nini wananchi waamue kuhusu Katiba Inayopendekezwa. Muda wa kuanza kutoa elimu juu ya nini hasa kimo kwenye Katiba Inayopendekezwa (si kampeni) ndio huu. Tusisahau watanzania wenzangu.
Nawasilisha.
Nawasilisha.