Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,286
- 10,667
Tunaimbiwa mapambio mazuri kila siku kwa sababu ya Tozo.
Tozo inajenga madarasa
Tozo inajenga vituo vya afya
Tozo sijui inajenga barabara
Tozo imeleta sijui vitu kedekede
Wakati huo huo tunakopa mabilioni na mabilioni kutoka taaisisi mbalimbali za fedha.
Sasa hayo madarasa yanajengwa na Tozo au mikopo?
Halafu hata hivyo ukizunguka kwenye mashule ya msingi na sekondari hatuoni ujenzi wowote ukiendelea, tulitegemea kila shule ya sekondari au msingi wangekuwa bize kujenga madarasa,lakini hatuoni kitu.
Hivi hatupigwi kekundu kweli kwenye TOZO?
Isije ikawa wenzetu wanaandaa hela za kampeni 2025 kwa mgongo wa Tozo?
Tozo inajenga madarasa
Tozo inajenga vituo vya afya
Tozo sijui inajenga barabara
Tozo imeleta sijui vitu kedekede
Wakati huo huo tunakopa mabilioni na mabilioni kutoka taaisisi mbalimbali za fedha.
Sasa hayo madarasa yanajengwa na Tozo au mikopo?
Halafu hata hivyo ukizunguka kwenye mashule ya msingi na sekondari hatuoni ujenzi wowote ukiendelea, tulitegemea kila shule ya sekondari au msingi wangekuwa bize kujenga madarasa,lakini hatuoni kitu.
Hivi hatupigwi kekundu kweli kwenye TOZO?
Isije ikawa wenzetu wanaandaa hela za kampeni 2025 kwa mgongo wa Tozo?