britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Penye kifo chako haupo, na kama upo basi hakuna kifo chako,
Hii dhana ya watu kuogopa kufa nadhani hofu utokana na uoga tu,
Ni wachache sana wanaowaza kwamba watoto wangu au majukumu ambayo sijakamilisha atayafanya nani, wengi uogopa tu kwakuwa wanakufa na kuogopa tu kifo,
Unajua wanaokufa hawasikii maumivu yoyote huko walipo? Kama watakuwapo kweli,
Sijawahi kufika huko lakin najua na sioni sababu ya kufanya mtu ateseke huko aendako,
Hivi ni sababu zipi zinapelekea we msoma Uzi huu kwamba hupaswi kufa muda huu au kufa muda wowote,
Tujiandae, uoga wa kufa uwafanya watu waache mambo bila kuyaweka kwenye utaratibu,
Ukifa we hutaumia ila watakaoumia ni wale wanaobaki wakijilazimisha kulia kwasababu yako uliyeondoka,
Hii dhana ya watu kuogopa kufa nadhani hofu utokana na uoga tu,
Ni wachache sana wanaowaza kwamba watoto wangu au majukumu ambayo sijakamilisha atayafanya nani, wengi uogopa tu kwakuwa wanakufa na kuogopa tu kifo,
Unajua wanaokufa hawasikii maumivu yoyote huko walipo? Kama watakuwapo kweli,
Sijawahi kufika huko lakin najua na sioni sababu ya kufanya mtu ateseke huko aendako,
Hivi ni sababu zipi zinapelekea we msoma Uzi huu kwamba hupaswi kufa muda huu au kufa muda wowote,
Tujiandae, uoga wa kufa uwafanya watu waache mambo bila kuyaweka kwenye utaratibu,
Ukifa we hutaumia ila watakaoumia ni wale wanaobaki wakijilazimisha kulia kwasababu yako uliyeondoka,