britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
- Thread starter
- #21
SureSiku hizi JF kila mtu kawa msemaji wa KIFO.
SureSiku hizi JF kila mtu kawa msemaji wa KIFO.
halafu cha kushangaza hufi wala nini.siku ambayo hata mawazo huna ndio ntoleeIla ukiwa mgonjwa taabani unakuwa na mawazo ya kufa yaani unajitambua kabisa kuwa mimi tena siyo wa duniani hata maongezi yako kwa wale wanaokupatia huduma /kukuangalia yanabadilika
Kila nafsi itaonja mauti