Tusiliendeleze hili la Al shabab

raffiki

Senior Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
160
Reaction score
44
Ndugu, watanzania wenzangu mie nadhani si busara tena kuliongelea swala hili la Al shabab. Nasema hivyo maana tazari sasa kila kitu kinahusishwa na hawa jamaa. Mfano ni maandamano na mechi ya yanga na simba. Angalizo langu ni kuwa,nionavyo mimi kwa kuhusisha kundi hili na mambo yeti ya kitaifa ni hatari kwa usalama wa nchi yetu. Hii ni kwakua maadui zetu na hata ataifa makubwa yanaweza tumia mwanya huu kuleta wavamizi na kisingizio kuwa na hawa jamaa, ambao hata sie tumeshaanza kukaribisha hoja hiyo.

Note:al qaida ilianza vivyo hivyo sahivi ndio kimekua chanzo cha kuvuruga amani nchi nyingi hasa za africa.

ni mawazo tu be careful
 
ni kweli lakini wanao liendeleza hilo jambo ni "kova" maana sioni mantiki ya sisi kwanza kuwaogopa hao al shabab, pili kuonyesha kwamba sisi tuna uadui nao, tatu kwamba tunaweza au tutasimamisha shughuli zetu kwa sababu yao, hii inaonyesha taifa letu, jeshi letu, polisi wetu ni waoga au hatuwezi kupambana na al shabab, wakati huo huo kamati ya ulinzi wanasema jeshi letu lipo imara, wakati kova anataka tuingie chini ya uvungu wa kitanda, nakumbuka tulivyo kuwa wadogo tunapo tishana mvuka mstahiri huu na wewe vuka hapa utaona, moja akifanikiwa kuvuka mwingine anaanza nipige basi utaona
 
hatuwezi acha mkuu ni kweli jamaa wapo wanamipango hiyo na j3 ni zaidi ya maafa wanaaza daraja la salenda,magomeni na njia ya tazara tabata kisa wanadata zote za makontena tunayosafirisha madini nje ya nchi watachukua mgao hapahapa na data hizo wamezipata ticks mgomo wa juzi kwani waliupandikiza ili wapige hesabu zao wanajua kila kitu sasa .
 
tuna fantasize 'vita na al shabaab'

wakati wenyewe al shabaab wala hawajui kuwa tuna ugomvi nao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…