‪Tusikubali udhalilishaji wa Jarida la The Economist, lamwita Rais wetu "Dinasauria wa Dodoma” na "bullheaded socialist"

Kamarada Paskali hapa umetuasa au na Wewe umehanikiza / umechochea kile kile kilichoandikwa na hilo Jarida ila umetumia tu ' diplomatic ' language ya kujifanya kama umesikitika lakini kumbe nawe kimoyomoyo umefurahia kilichosemwa? Mimi huwa nakuelewaga sana Mkuu labda hao wengine ndiyo ' utawakamata '.
 
Samahani kama nitakuudhi Mzee mayala,
kwa mda mrefu umekua member mwenye heshima hapa jamvini,nakumbuka Mara ya mwisho ulivyokua kwenye mkutano wa waadishi wa habari pale ikulu mh rais alionekana kama alikufahamu kabla ya pale either kwa sababu ya maandiko yako, katika platforms tofauti,tangu siku hiyo, ama kwa uoga wa kufahamika ama kwa kupenda kupewa vyeo kama kawaida yenu waxhumia tumbo umebadilika na kuwa mtu wa ovyo sana..(coward of the country)
Kama kweli wewe Ni mwandishi makini kwanini unashindwa Ku counter maandiko ya waandishi wenzio na badala yake unacounter gazeti lenyewe au mwandishi wa hyo makala,kwa akili yako unaona rais umaemtetea yuko sahihi jinsi anavyotreat upinzani!?jinsi magazeti yanavyofungiwa kisa anasemwa,kwanini asiwe dinosaurs wa Dodoma kwa upuuzi anaoufanya!?unataka na wao wawe kimya au wasifie kama wewe kwani wao wanahitaji vyeo vya kupewa kama wewe!? Kama Maisha yamekushinda mjini hapa rudi kwenu magu Ardhi bado ipo ongea na mkuu wa wilaya akumengee kipande ukalime,watu wanauwa,watu wanapigwa risasi ovyoovyo bado unatetea?hata kama yeye hausika bado hakwepi kuwa responsible,he is the head of state.
Msitake nchi mzima tuonekane wapuuzi kwa ujinga wenu!!
Maneno mubashara....
Hapa sina cha kuongeza
 
Raisi wa wapi au wa nani? Waliomchagua wapo 8 million, wenye sifa za kupiga kura walikuwa zaidi ya 22milion, ambao hawakupiga kura zaidi ya million 8, wa tz tupo karibu 50 million. Ina maana ni Raisi wa wachache, muache kuwaingiza na ambao hawakumchagua, hilo ni chaguo lako na wenzio wenye akili kama zako
 
Uongo ukisema mara nying Bila kukanushwa unakua ukwel, basi huo ni Uongo tumeelewa ukwel ni kua hostels za udsm zilijengwa kwa 10billion na pia 2015 sukari ilikua elfu tano kwa kilo huo ni ukwel.

Mwisho uzalendo wa mtu ni kua na mapenz ya dhati na nchi yake sio watu au vikundi vya wanasiasa au serikali. Naipenda nchi yangu na naitakia mema huo ni uzalendo tosha
 
Pasco katika mbio za kuusaka UDC
Nadhani wengi hamumuelewi Pascal Mayalla, huyu bwana ni kama Mange Kimambi wa Instagram. Anafahamu kuwa ni maarufu na kila uzi atakao leta JF utasomwa na watu wengi hivyo hata nyuzi zingine zilizoletwa na wachangiaji wasio na mvuto JF na zina mantiki makubwa ndani yake basi Pasco anauvuta uzi huo na kuonyesha kuukandia (ingawa anauunga mkono) kiaina kisha anaweka mezani tuhangaike nao.
Ni mbinu safi sana, na hakika anastahili heshima kwa hilo. Hayo mambo ya uteuzi msihangaike kufikiria maana kesha vuka huko. Unadhani ukimpa Pasco ukuu wa wilaya mfano Longido anaweza kufanya kazi chini ya Gambo? Thubutu! Akishaweka ule mvinyo sii mtayasikia ya Tyson na Evander!
 
Wanabodi,

Uongo ukisemwa sana na kuachwa kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, mwisho wake hugeuka ukweli, baada ya kutokukemea magazeti ya nje kuandika uongo kumhusu rais wetu na kumuita majina ya ajabu ajabu, huku sisi na serikali yetu tumenyamaza , sasa ni zamu ya jarida la The Economist, limemtukana rais wetu "dinasauria wa Dodoma" kisha wakamuita a bad president na kumalizia kwa kumtukana a bullheaded socialist!. Pia kumsingizia mambo mengi ya uongo katika toleo lake la hivi karibuni kama nilivyonukuu hapa.


Wakuu Mwanakwetu na Kibanga, kwanza asanteni kwa bandiko hili, pili
tusikubali uwongo huu wa gazeti la The Economist

Uongo Mbalimbali ambazo Hazijakanushwa.
Hi ni baadhi ya uongo mbalimbali ambazo hazijakanushwa hadi leo ambazo mimi kama Mtanzania Mzalendo, kazi yangu ni kushauri tuu.
  1. Rais wetu alipotuhumiwa kuhongwa suti nilipinga na kushauri.Tuhuma za Rais wetu kuhongwa suti: Marekani ituombe radhi ...
  2. Hata kelele kuhusu udikikiteta wa Magufuli ziliposhika kasi nilishauriUdikiteta: Uongo Ukisemwa Sana na Kuachwa Bila Kukanushwa Hugeuka ...
  3. Magufuli aliposemwa vibaya na SABC, nilishauriSerikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu ...
  4. Rais Magufuli aliposemwa vibaya kuhusu Mimba za utotoni, pia nilishauriJe, Huku Sio Kudhalilishwa Kwa Rais Wetu na Media za Nje?. Jee ...
  5. Juzi kati hapa serikali yetu ilipoitwa Sinister na Authoritarian, pia nilishauri
    Serikali yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian": Je, ni kweli ...
Hitimisho.
Uongo ukisemwa sana sana na kuachwa bila kukanushwa, mwisho wake, sio tuu utaonekana kama ni ukweli, bali una hatari ya kugeuka kuwa ukweli kwa sababu kauli huumba!.
Natoa wito kwa Watanzania wote wazalendo wa kweli wa nchi hii, tusikubali rais wetu kutukanwa. kudhalilishwa na kusingiziwa uongo huku sisi wazalendo tupo na tumenyamaza tuu kimya, bila kufanya lolote. Tusikubali.

Paskali

Tutalifungia usijali mkuu Paskali, Mambo madogo sana haya. Tumefungia mangapi tushindwe hili, tutalifuata huko huko nje!
 
Naona mleta mada amekuja kwa reverse ili asiitwe mchochezi. Ila ukweli utabaki kuwa ukweli, media za ndani zikifungiwa za nje zitaongea.

"The world will not be destroyed by those who do evil, but by those who watch them without doing anything" - Albert Einstein

The Dinosaur of Dodoma
 
Nitashangaa kama Paschal asipokamatwa kwa uchochezi.

Hawawezi kuthubutu kumkamata Paskali kwa kitu kilichoandikwa na gazeti la Uingereza.

Kamwe!

By the way, dunia inatuona wote ni ma illiterate wa darasa la saba. Economist hawajasema Magufuli ni bullheaded socialist bali Nyerere, ambae Magufuli anataka kumuiga. Sikujua Watanzania Kiingereza kinatupiga chenga namna hii, hata cha kusoma tu, achilia mbali cha kuongea.
 
Wanabodi,

Uongo ukisemwa sana na kuachwa kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, mwisho wake hugeuka ukweli, baada ya kutokukemea magazeti ya nje kuandika uongo kumhusu rais wetu na kumuita majina ya ajabu ajabu, huku sisi na serikali yetu tumenyamaza , sasa ni zamu ya jarida la The Economist, limemtukana rais wetu "dinasauria wa Dodoma" kisha wakamuita a bad president na kumalizia kwa kumtukana a bullheaded socialist!. Pia kumsingizia mambo mengi ya uongo katika toleo lake la hivi karibuni kama nilivyonukuu hapa.


Wakuu Mwanakwetu na Kibanga, kwanza asanteni kwa bandiko hili, pili
tusikubali uwongo huu wa gazeti la The Economist

Uongo Mbalimbali ambazo Hazijakanushwa.
Hi ni baadhi ya uongo mbalimbali ambazo hazijakanushwa hadi leo ambazo mimi kama Mtanzania Mzalendo, kazi yangu ni kushauri tuu.
  1. Rais wetu alipotuhumiwa kuhongwa suti nilipinga na kushauri.Tuhuma za Rais wetu kuhongwa suti: Marekani ituombe radhi ...
  2. Hata kelele kuhusu udikikiteta wa Magufuli ziliposhika kasi nilishauriUdikiteta: Uongo Ukisemwa Sana na Kuachwa Bila Kukanushwa Hugeuka ...
  3. Magufuli aliposemwa vibaya na SABC, nilishauriSerikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu ...
  4. Rais Magufuli aliposemwa vibaya kuhusu Mimba za utotoni, pia nilishauriJe, Huku Sio Kudhalilishwa Kwa Rais Wetu na Media za Nje?. Jee ...
  5. Juzi kati hapa serikali yetu ilipoitwa Sinister na Authoritarian, pia nilishauri
    Serikali yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian": Je, ni kweli ...
Hitimisho.
Uongo ukisemwa sana sana na kuachwa bila kukanushwa, mwisho wake, sio tuu utaonekana kama ni ukweli, bali una hatari ya kugeuka kuwa ukweli kwa sababu kauli huumba!.
Natoa wito kwa Watanzania wote wazalendo wa kweli wa nchi hii, tusikubali rais wetu kutukanwa. kudhalilishwa na kusingiziwa uongo huku sisi wazalendo tupo na tumenyamaza tuu kimya, bila kufanya lolote. Tusikubali.

Paskali
Pascal kuna mengine yana ukweli. Unajua kuna mambo mengi sana ambayo rais wetu ndio anaesababisha. Kwanini hataki wananchi wawe huru katka kumkosoa, kwanini anazuia mikutano ya vyama vy upinzani, kwanini watendaji wake wanazuia vyama vya upinzani kufanya maendeleo kwwnye majimbo wanazoongoza. Kwa kweli rais wetu anayo makosa mengi na ndio maana hata wananchi hawawezi kumtetea yaani Magufuli amechokwa na kila moja. Wanaompenda ni wale wanaomlamba mikono na wanaofaidika na rushwa. Lakini kati ya raia 10 ukimuuliza je unampenda Magufuli 9 watasema hapana. Magufuli anatupeleka pabaya. Magufuli anatengeneza chuki, ukabila ambayo itawaua watanzania
 
Wanabodi,

Uongo ukisemwa sana na kuachwa kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, mwisho wake hugeuka ukweli, baada ya kutokukemea magazeti ya nje kuandika uongo kumhusu rais wetu na kumuita majina ya ajabu ajabu, huku sisi na serikali yetu tumenyamaza , sasa ni zamu ya jarida la The Economist, limemtukana rais wetu "dinasauria wa Dodoma" kisha wakamuita a bad president na kumalizia kwa kumtukana a bullheaded socialist!. Pia kumsingizia mambo mengi ya uongo katika toleo lake la hivi karibuni kama nilivyonukuu hapa.


Wakuu Mwanakwetu na Kibanga, kwanza asanteni kwa bandiko hili, pili
tusikubali uwongo huu wa gazeti la The Economist

Uongo Mbalimbali ambazo Hazijakanushwa.
Hi ni baadhi ya uongo mbalimbali ambazo hazijakanushwa hadi leo ambazo mimi kama Mtanzania Mzalendo, kazi yangu ni kushauri tuu.
  1. Rais wetu alipotuhumiwa kuhongwa suti nilipinga na kushauri.Tuhuma za Rais wetu kuhongwa suti: Marekani ituombe radhi ...
  2. Hata kelele kuhusu udikikiteta wa Magufuli ziliposhika kasi nilishauriUdikiteta: Uongo Ukisemwa Sana na Kuachwa Bila Kukanushwa Hugeuka ...
  3. Magufuli aliposemwa vibaya na SABC, nilishauriSerikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu ...
  4. Rais Magufuli aliposemwa vibaya kuhusu Mimba za utotoni, pia nilishauriJe, Huku Sio Kudhalilishwa Kwa Rais Wetu na Media za Nje?. Jee ...
  5. Juzi kati hapa serikali yetu ilipoitwa Sinister na Authoritarian, pia nilishauri
    Serikali yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian": Je, ni kweli ...
Hitimisho.
Uongo ukisemwa sana sana na kuachwa bila kukanushwa, mwisho wake, sio tuu utaonekana kama ni ukweli, bali una hatari ya kugeuka kuwa ukweli kwa sababu kauli huumba!.
Natoa wito kwa Watanzania wote wazalendo wa kweli wa nchi hii, tusikubali rais wetu kutukanwa. kudhalilishwa na kusingiziwa uongo huku sisi wazalendo tupo na tumenyamaza tuu kimya, bila kufanya lolote. Tusikubali.

Paskali
Asante kaka kwa kutujuvya kwamba ,ulimwengu umeshakuwa unayatambua yanayoendelea Tanzania,mwanakwetu wa kabanga,nimekutambua,hongera,umewajulisha wana mtandao,mimi nauliza tu,unataka tufanye nini?.
 
Back
Top Bottom