Tusifanye makosa kutomchagua Lowassa

Tusifanye makosa kutomchagua Lowassa

Mssassou

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2015
Posts
1,537
Reaction score
597
Lowassa ni kipenzi cha watanzania, mchapakazi, si mla rushwa, anapendwa na kila mtanzania, mchamungu na ana kila sifa ya kuwa rais.

Watanzania tusifanye makosa kwa kutomchagua Lowassa, nje ya Lowassa hakuna rais bora.
 
kina mama ... lowassa
kina baba lowassa
vijana ......lowassa

chichiem.....lowassa
 
Lowassa ni kipenzi cha watanzania,mchapakazi,si mla rushwa,anapendwa na kila mtanzania,mchamungu na ana kila sifa ya kuwa rais.Watanzania tusifanye makosa kwa kutomchagua Lowassa,nje ya Lowassa hakuna rais bora
kama kigezo ni upenzi wanawake wazuri wasingeachwa na ndoa kuvunjika. wewe kaa na mawazo yako usiwalazimishe watu kuchagua tar 25 inakuja utashuhudia mwenyewe.
 
Lowassa ni kipenzi cha watanzania,mchapakazi,si mla rushwa,anapendwa na kila mtanzania,mchamungu na ana kila sifa ya kuwa rais.Watanzania tusifanye makosa kwa kutomchagua Lowassa,nje ya Lowassa hakuna rais bora

BIBLIA inasema amelaaaniwa mtu asemaye mtu mwovu ni mwema
 
lowassa ni kipenzi cha watanzania,mchapakazi,si mla rushwa,anapendwa na kila mtanzania,mchamungu na ana kila sifa ya kuwa rais.watanzania tusifanye makosa kwa kutomchagua lowassa,nje ya lowassa hakuna rais bora

100% yesssss.............
 
Ni kipenzi cha baadhi ya watanzania lakini si wote,na si kweli nje ya lowassa hakuna rais bora ni wa kawaida tu wala tusijipe matumaini makubwa kuwa chini ya utawala wake anaweza kufanya miujiza

Hata kama hatafanya miujiza lakini hatafanya maamuzi kwa kutumia mfumo wa CCM ambao husimamiwa na Mkapa, Msuya, Malecela, Mangula, Kinana, Jk na wazee wa Dar-es-Salaam. Lowassa ameingia kwenye system ya kisasa ya kufanya maamuzi kwa mtazamo mpya na wa kisayansi zidi ambao naweza kusema wa kuleta matokeo na si business as usual(BAU)
 
BIBLIA inasema amelaaaniwa mtu asemaye mtu mwovu ni mwema

Hakuna mwanadamu anayeweza kumwita mwenzake mwovu ni Mungu tu ndiye mwenye huo uwezo kwa sababu yeye ni mtakatifu.Soma Matendo ya mitume 14:4
 
Hakuna mwanadamu anayeweza kumwita mwenzake mwovu ni Mungu tu ndiye mwenye huo uwezo kwa sababu yeye ni mtakatifu.Soma Matendo ya mitume 14:4

Nimesema BIBLIA inasema amelaaniwa mtu asemaye mtu mwovu ni mwema.Sijasema MWANADAMU anasema amelaaniwa mtu asemaye mtu mwovu ni mwema.
 
Lowassa ni kipenzi cha watanzania,mchapakazi,si mla rushwa,anapendwa na kila mtanzania,mchamungu na ana kila sifa ya kuwa rais.Watanzania tusifanye makosa kwa kutomchagua Lowassa,nje ya Lowassa hakuna rais bora
SIMCHAGUI LOWASSA, NA WATANZANIA WENGI NDO WESHAAMUA HIVYO. TUTAMCHAGUA MAGUFULI SABABU NI MCHAPAKAZI NA TUMEONA KWA MACHO YETU KUWA NI MCHAPAKAZI, WATANZANIA TUMESHASEMA KWA SAUTI YA UJUMLA KUWA HATUTAKI MAFISADI MA WANAFIKI.

Wale wachache walio na akili za nyumba tunawaacha waliwe na mamba!!
 
Hakuna kiongozi yeyote hapa dunia atakayeepuka MABADILIKO, mabadiliko huja kwa njia ya kawaida, huja kimchezo mchezo, hebu angalia lilikuwa jambo dogo sana na rahisi kukata jina la Mh. Lowassa lakini madhara yake yamekuwa ni makubwa mno kwa watawala...zaidi ya hapo bado wanafanya mzaha....hawaamini kwamba watatoka madarakani kwani wanaona TZ ni ileile, wananchi ni wale wale, rangi ya chama chao ni ile ile, na mabaya zaidi..UONGO wanaoutumia ni ule ule, mabadiliko ni mpango wa Mungu, ni vigumu sana mwanaadamu kuyakwepa mabadiliko..... hakuna mtu wala lugha yoyote inayoweza kumzima Lowassa, hakuna...... kitakachoendelea kadiri wanavyopambana naye ndivyo umaarufu wake utakavyoongezeka, kadiri watakavyoshindana naye ndivyo watakavyo shindwa.
 
Back
Top Bottom