Tusidharau kazi ya ulinzi

Tusidharau kazi ya ulinzi

Ulinzi ni proffessional wadau na ibalipa. Sema smtym inategemea unafanyia wapvhii kaz ya ulnzi. Security officer ni mlinzi kimsingi na it pays alot hivyo karibuni ktk fani

Hey niaje mazingira ya ultimate security guard
 
mm nlinzi wa tpdc security officer mshahara sawa na auditor hahahaaaaaa kalaga bao
 
cio vizuri kumdharau mtu bz ni mlinzi kwanza utakuta mtu mwingne ni customer care wa kampuni za simu eti unamdharau mlinzi kua analipwa hela ndogo bila kujua anakuzidi hata wewe graduate kwa mshahara.... Jua kwamba kampuni kama kk, g4s, secur.group mwenye rank ya chini analipwa 250,000-300000 ukija kwa supervisor, site commander na zone manager wamekuacha ile mbaya kwa pay so zarau haifai

Ni kweli kaka hata mim ni mlinzi wa kampuni ya G4s kwa miaka mitatu sasa toka niajiriwe,now ni nimehamishiwa ubaloz wa Moja wa mataifa ya Magharib na mshahara wangu ni 400,000 nashaanga wanao tudharau
 
Hey niaje mazingira ya ultimate security guard

kaka achana na Ultimate mshahara mdogo maana mkurugenzi wao wa sasa Bi. Jacqui Bothma alikuwa G4s now yupo Ultimate anawaminya mshahara,nakushauri nenda G4s maslahi mazur mshahara wa mlinzi anayeanza kazi ni 250,000 baada ya kukatwa makato yote yaani kodi na ppf
 
Wanaodharau kazi ya walinzi ni mambula,nenda kacheki walinzi wanaopangwa site za magodown ya wachina ndo utajua ulinzi nn.Wako ninao wafahanu wanamiliki coaster na guest house kwa kazi yao hiyo hiyo ya ulinzi hapa dar.
 
mbona mama zenu na baba zenu ni polisi na wanajeshi, au wao sio walinzi. haha haaaa tatizo ni jina la "ULINZI" wakibadilishwa majina wakaita "Control and awarenss officerss" tutawakuta hata hawa wanaojiita magraduate wana apply na na kuzunguzka na bahasha mitaani.

kazi ni kazi ndugu zangu ili mradi tu uiweze na iwe ya halali.
kwani ma engineer wanaingia kwa shifti na madaktari na manesi zina utofauti gani na walinzi?
 
cio vizuri kumdharau mtu bz ni mlinzi kwanza utakuta mtu mwingne ni customer care wa kampuni za simu eti unamdharau mlinzi kua analipwa hela ndogo bila kujua anakuzidi hata wewe graduate kwa mshahara.... Jua kwamba kampuni kama kk, g4s, secur.group mwenye rank ya chini analipwa 250,000-300000 ukija kwa supervisor, site commander na zone manager wamekuacha ile mbaya kwa pay so zarau haifai
kama mlinzi analipwa mpaka 250 thousand, je mwenye mlinzi analipwaje per head?

armed and non armed guard?
 
site commander au field officer unakuta analipwa 500,000- 700,000 sasa huu si mshahara wa graduate anayeanza kazi serikalini?...tena unaweza usifike...bado hujamgusa zone manager so tuache zarau mheshimu kila mtu mahali pake anapofanyia

Kampuni gani mkuu?
 
Hivi G4S wanapatikana wapi nikaombe kazi jamani

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Hivi G4S wanapatikana wapi nikaombe kazi jamani

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

G4S nilishaona walinzi wao wakiwa maeneo ya Serengeti Breweries, hapa Nyakato Mwanza.

Makao makuu yake yako Dar es salaam, wasiliana nao kwa;

[h=4]G4S Security Services (T) Ltd[/h] [h=5]Contacts:[/h] Location: Dar Es Salaam
Main:
call_skype_logo.png
+255 22 276 1006
Fax: +255 22 276 0861
 
Tatizo la kazi ya ulinzi si kwenye mishahara....
Bali kwenye naman ya ulipaji mishahara...
Mshahara unalipwa tarehe 60....??
 
Back
Top Bottom