Wapinzani acheni kubabaika, maana mmekuwa mkishiriki katika chaguzi mbalimbali na chopa zenu mwisho mnaambulia kipigo, mfano Kalenga na Chalinze ni vipigo viwili vinavyowachanganya na kuamua kuwadanganya watanzania, na kutokana na stress za mara kwa mara mnaamua kuwadanganya watanzania et hati ya muungano haipo.
Jamani kuna msemo wa kiswahili usemao mfamaji aachi kutapata, wapinzani nao sasa wanakufa kisiasa hivyo wanatapatapa tu hawana jipya.
Hati ya muungano ipo na katika ofisi za katibu wa bunge ipo na sio ya kuchakachua kama wapinzani wanavyowadanganya watanzania,Watanzania tusidanganyike.
Jamani kuna msemo wa kiswahili usemao mfamaji aachi kutapata, wapinzani nao sasa wanakufa kisiasa hivyo wanatapatapa tu hawana jipya.
Hati ya muungano ipo na katika ofisi za katibu wa bunge ipo na sio ya kuchakachua kama wapinzani wanavyowadanganya watanzania,Watanzania tusidanganyike.