Uchaguzi 2020 Tusidanganyane: Kwa mtindo huu sioni hata Mkurugenzi mmoja atayeweza kutangaza ushindi kwa upinzani abadani

Kuna mambo hayahitaji akili kubwa sana kuyaelewa namna yanavyoenda/endeshwa.

Hii kauli mmeisahau? "Nikuteuwe mimi kuwa Mkurugenzi, nikupe gari, nikupe nyumba, nikupe mshahara na posho halafu umtangaze mpinzani mshindi!!". Maneno hayo ni mazito sana na yanatanabaisha namna mambo yanavyoanza kuwaendea kombo wapinzani hata kabla ya kuanzwa kwa kampeni.

NEC sio wenzetu, Polisi vivyo hivyo! Mahakama nazo zimekosa weledi wa namna ya kuzisimamia sheria. Upinzani usitegemee muujiza kwani hakuna Mkurugenzi ambaye atakubali kupoteza 'ugali' wake kwa kumtangaza mpinzani kuwa mshindi.

Kwa hali ilivyo sasa, "Wananchi tutachagua, NEC watateuwa".
Huu mwaka si ndio watauliwa, ngoja wafanye usenge.
 
Kuna mambo hayahitaji akili kubwa sana kuyaelewa namna yanavyoenda/endeshwa.

Hii kauli mmeisahau? "Nikuteuwe mimi kuwa Mkurugenzi, nikupe gari, nikupe nyumba, nikupe mshahara na posho halafu umtangaze mpinzani mshindi!!". Maneno hayo ni mazito sana na yanatanabaisha namna mambo yanavyoanza kuwaendea kombo wapinzani hata kabla ya kuanzwa kwa kampeni.

NEC sio wenzetu, Polisi vivyo hivyo! Mahakama nazo zimekosa weledi wa namna ya kuzisimamia sheria. Upinzani usitegemee muujiza kwani hakuna Mkurugenzi ambaye atakubali kupoteza 'ugali' wake kwa kumtangaza mpinzani kuwa mshindi.

Kwa hali ilivyo sasa, "Wananchi tutachagua, NEC watateuwa".
Huyo anayetamka hivyo nchi sio yake ni mwajiriwa wetu , wananchi ndio wenye mamlaka yote nguvu ya umma itumike
IMG_20200802_165717_7.jpg
 
Huwezi ingiza watu barabarani ilihali wameridhika.
Hanna aliyeridhika nachokiona hajapatikana kiongozi wa upinzani kulianzisha.ugumu huwa ni kuanza ukipata sapoti ya miji 2/3 yanasambaa nchi nzima.

Ngoja tusubiri hayo maandamano yatazaa nini.
 
Mbona orodha ya waliopita bila kupingwa ni 18 tu hiyo 50 imetokea wapi?
Anyway maandamano mema
Siyo CDM na CCM peke yao wako kwenye uchaguzi. Vipo vyama vingine pia ambavyo wagombea wao hawajaenguliwa, hao zaidi ya 50 ni CDM tu.
 
Back
Top Bottom